hata huyo si marehemu mtarajiwa!Mkuu umechanganya. Marehemu ni Hawa Ngulume na si Hawa Ng'humbi. Kuwa makini siku nyingine.
hata huyo si marehemu mtarajiwa!Mkuu umechanganya. Marehemu ni Hawa Ngulume na si Hawa Ng'humbi. Kuwa makini siku nyingine.
Hawa Ngumbi si marehemu huyu jamani? au? kwa sheria inasemaje hapo kama mrufani ni marehemu msaada kwa hiliiii pls?
V
SENGEREMA
shost umerudi,Ulikua wapi?
yule mama anapenda kusuguana mabega na dogo mnyika kwenye benchi la mahakama...hii kesi hata ukimpa nchemba aliyekunywa maji ya bendera la kijani na njano na mwenye upeo mdogo anampa ushindi kamanda mnyika!!!kwa sababu kubaka mahkama ni kawaida yenu mnaweza kumrudishia ubunge lema na kutengua kijambazi wa mnyika ili muharibu balance ya hoja nzito bungeni...sh..wa.ini