SIGISIBERT
Member
- Nov 21, 2012
- 17
- 1
Kuna umuhimu gani wa sisi raia wa kawaida(sio wanasiasa) tukapewa mamlaka ya kwenda kukata rufaa kwa wagombea mbalimbali ambayo tunasababisha gharama nyingine zisizo za msingi kwa taifa letu wakati huku bado ndugu zetu wakiendelea kupata matatizo mbalimbali