Rubi kutoka Tanzania yavunja rekodi Dubai

Madini yaliyopo kwenye wilaya moja tu TANZANIA yanatosha kulipa deni la taifa na kumaliza shida za watz
Ushangae bado tunahangaika kwenda nje kuomba msaada.Kama hilo jiwe ni bilioni 240 za kitanzania yapo mawe mangapi huwa yanatoka kwa njia kama hizi?

Bado siamini kama lilitoka pasipo wahusika kujua hapa kuna inside job imehusika.

Madini mengi adhimu yote yapo Tanzania lakini hayaonekani kuleta tija kwenye bajeti yetu. Wabunge wanalia na bajeti barabara za majimbo yao hazipitiki wanahaha kutafuta fedha, wanalia kama sisi wananchi.

Kwanini wasiibane Serikali kwa kupitia mikataba ya madini, gesi, mafuta na utalii kuongeza mapato.? Kama wakiweza kuibana serikali vizuri hawatauumiza vichwa kuhusu utekelezaji wa ahadi katika majimbo yao.

Wengi hupigwa chini kwenye uchaguzi sababu ahadi zao huwa hazitekelezeki. Wananchi hawajui kwamba walikosa pesa ndio maana hawakutimiza ahadi zao sana sana wanawaona waongo tu.

Serikali na watendaji wana wajibu wa kufanya kuhusu rasilimali zetu. Kwamba tumegundua hiki na kile pasipo kuweka mpango madhubuti kudhibiti ubadhirifu wa hizi rasilimali tutishia kulia n kulalamika kila siku.
 
Write your reply...tena aliyechimba alikuwa mlevi tu wazungu walikuja kumuona n mtu gani wakamkuta kilabuni ila n miaka 1992 .
 
Labda awamu hii watalichimba,awamu ya baba waligomewa .Ngoja nifanye mechanics ya kupata location na geological report toka eneo husika.Mahenge.
Pasco sema tu aupo kwenye gemstone industry haya mawe ya Kg mbona yapo ya kutosha. Sema shida ni kuwapata kina Laizer wa kukubali kuwa wawazi Ili serikali ipate haki yake. Lakini wengi wanayo na upiga kimya pili awajui thamani yake upewa pesa mbuzi wageni uondoka nayo kimya kimya upeleka nchini kwao.
Ni kweli madini mengi yanaondoka kimya kimya ukitaka kujua uliza watu ambao wako kwenye industry ya madini.

Kwamba serikali haijui ni uongo wananufaika na huu wizi. Pia watendaji wengine ni incompetent hawana weledi wa kutosha.
 
Kaka viongozi wetu naomba niwaambie hawana AKILI.
Siwatukani ila ndo ukweli huo.
Vitu Kama hivi ndo vinatakiwa VIENDESHE NCHI badala ya makodi na matozo ya ajabu ajabu
Still bado yapo mengi nchini.Hilo dogo sana kuna wachimbaji walipata la kilo 32.
Wakaliuza milioni mbili Mnunuzi akaenda uza bilioni 26 akawaonea imani waliomuuzia akarudi akawapa milioni 200 kila mmoja walikuwa watatu.
Kuna moja lina tani 2.Lipo kilometers 2 Chini ya ardhi, hili tukilitoa si KILA mtza atapata vx. Sasa kama kilo 2.5 ni pesa hizo kwa hilo la tani 2 tutapata ngapi hapo.
 
Viongozi wenu wa Africa wanapenda KUPEWA SAMAKI sio nyavu Wala ndoana.
Uwa najiuliza serikali inashindwa kununua mitambo ya uchimbaji madini ikaanzisha migodi ya serikali?
Ushangae bado tunahangaika kwenda nje kuomba msaada.Kama hilo jiwe ni bilioni 240 za kitanzania yapo mawe mangapi huwa yanatoka kwa njia kama hizi?

Bado siamini kama lilitoka pasipo wahusika kujua hapa kuna inside job imehusika.

Madini mengi adhimu yote yapo Tanzania lakini hayaonekani kuleta tija kwenye bajeti yetu. Wabunge wanalia na bajeti barabara za majimbo yao hazipitiki wanahaha kutafuta fedha, wanalia kama sisi wananchi.

Kwanini wasiibane Serikali kwa kupitia mikataba ya madini, gesi, mafuta na utalii kuongeza mapato.? Kama wakiweza kuibana serikali vizuri hawatauumiza vichwa kuhusu utekelezaji wa ahadi katika majimbo yao.

Wengi hupigwa chini kwenye uchaguzi sababu ahadi zao huwa hazitekelezeki. Wananchi hawajui kwamba walikosa pesa ndio maana hawakutimiza ahadi zao sana sana wanawaona waongo tu.

Serikali na watendaji wana wajibu wa kufanya kuhusu rasilimali zetu. Kwamba tumegundua hiki na kile pasipo kuweka mpango madhubuti kudhibiti ubadhirifu wa hizi rasilimali tutishia kulia n kulalamika kila siku.
 
Nchi imejaa madini viongozi wamekalia kukamua watu kodi na kukopa. Mkoloni hakuendesha nchi kwa kodi,
 
Eti mtu anashangaa ruby jiwe kilo mbili sijui tatu. Wakati yamejaa tele yenye kilo zaidi ya hayo Mahenge, Longido na Tunduru. Kuwatoza kodi na tozo watu masikini kama watz badala ya kutumia raslimali tele zilizopo ni matumizi mabaya Sana ya akili. Mkoloni hakuendesha nchi kwa kodi na alifanya makubwa Sana ikiwemo maendeleo yote tunayo yaona. Aliweka kodi kama tu mfumo wa kuwabana watu wafanye Kazi na sio kutegemea kodi kuendesha nchi.
 
Ni kweli madini mengi yanaondoka kimya kimya ukitaka kujua uliza watu ambao wako kwenye industry ya madini.

Kwamba serikali haijui ni uongo wananufaika na huu wizi. Pia watendaji wengine ni incompetent hawana weledi wa kutosha.
Mswahili ni mtu dhaifu Sana kwenye pesa ukiona mzigo umekamatwa mpakani jua mwenye mzigo hakuwashirikisha wadau.Mali zinatoroshwa tu
 
Eti mtu anashangaa ruby jiwe kilo mbili sijui tatu. Wakati yamejaa tele yenye kilo zaidi ya hayo Mahenge, Longido na Tunduru. Kuwatoza kodi na tozo watu masikini kama watz badala ya kutumia raslimali tele zilizopo ni matumizi mabaya Sana ya akili. Mkoloni hakuendesha nchi kwa kodi na alifanya makubwa Sana ikiwemo maendeleo yote tunayo yaona. Aliweka kodi kama tu mfumo wa kuwabana watu wafanye Kazi na sio kutegemea kodi kuendesha nchi.
Hata mimi huwa ninashangaa sana mkoloni alifanyaje akaweza halafu sisi tunashindwa? Rasilimali zetu hazitumiki ipasavyo, sera ya uwajibikaji ni dhana dhahania, weledi na uwezo wa utendaji ni mfinyu.

Viongozi wetu hawana maono wanajua kuongoza nchi ni mikopo na kusakamua wananchi kodi. Bora sasa hizo kodi zilete tija hakuna kitu. Kuna shida kwenye uongozi.
 
Mswahili ni mtu dhaifu Sana kwenye pesa ukiona mzigo umekamatwa mpakani jua mwenye mzigo hakuwashirikisha wadau.Mali zinatoroshwa tu
Nakubaliana wewe mkuu. Wenye dhamana na mali za umma hawana uzalendo na uchungu wa rasilimali zetu, wengi wanakimbizana kutaka kutoka. Hata wanaoonyesha kuwa na uchungu na nchi yao wanakwamishwa maksudi.
 
Hata mimi huwa ninashangaa sana mkoloni alifanyaje akaweza halafu sisi tunashindwa? Rasilimali zetu hazitumiki ipasavyo, sera ya uwajibikaji ni dhana dhahania, weledi na uwezo wa utendaji ni mfinyu.

Viongozi wetu hawana maono wanajua kuongoza nchi ni mikopo na kusakamua wananchi kodi. Bora sasa hizo kodi zilete tija hakuna kitu. Kuna shida kwenye uongozi.
Niseme tu ni tamaa ya wapigania UHURU wachache kwa maslai yao na familia ndio waliowadanganya waafrika wawafukuze wakoloni Ili wao wanufaike na familia zao, check familia zao zinavyoogelea kwenye utajiri huku waafrika wengi wakiwa fukara dhoofu hali. Mwafrika alikuwa na maisha mazuri Sana kabla ya UHURU, check mfano nchini kama zimbabwe, south africa, botswana, Namibia, nk ajira ngapi zimekufa baada ya UHURU. Waafrika ilitakiwa tuombe usawa na sio kujiendesha tumeproofu failer kabisa. Check ripot ya CAG upigaji KILA sekta kuanzia juu hadi chini hapa unaweza nishawishi vipi nilipe kodi hali inaenda kuliwa. Sio lazima kuendesha nchi kwa kodi,unatoza vipi kodi watu masikini badala ya kutumia raslimali tele zilizopo.
 
Niseme tu ni tamaa ya wapigania UHURU wachache kwa maslai yao na familia ndio waliowadanganya waafrika wawafukuze wakoloni Ili wao wanufaike na familia zao, check familia zao zinavyoogelea kwenye utajiri huku waafrika wengi wakiwa fukara dhoofu hali. Mwafrika alikuwa na maisha mazuri Sana kabla ya UHURU, check mfano nchini kama zimbabwe, south africa, botswana, Namibia, nk ajira ngapi zimekufa baada ya UHURU. Waafrika ilitakiwa tuombe usawa na sio kujiendesha tumeproofu failer kabisa. Check ripot ya CAG upigaji KILA sekta kuanzia juu hadi chini hapa unaweza nishawishi vipi nilipe kodi hali inaenda kuliwa. Sio lazima kuendesha nchi kwa kodi,unatoza vipi kodi watu masikini badala ya kutumia raslimali tele zilizopo.
Hata sheria wanazotunga ni kwa maslahi yao. Ikitokea akapatikana kiongozi mwingine wanamuundia zengwe ili atoke utadhani walisainishwa mkataba wa kuongoza siku zote.

Wasipopata madaraka wanatushawishi tuingie barabarani tuiondoe serikali iliyopo madarakani lakini hutawaona watoto wao, ndg na wake zao wakiongoza maandamano, hata ikitokea wakaupata huo uongozi hawana tena muda na waliowapigania.

Afrika tuna kasumba mbaya sana uroho wa madaraka, undugu, ukabila, ukanda, ubinafsi na roho mbaya ndivyo vinavyotufanya kuturudisha nyuma.

Sera mbovu ya elimu hili nalo ni janga. Watoto wetu wasomeshwe kwa kiswahili kwenye interview wanakwambia mwenye ujuzi wa kusoma, kuandika na kuongea kiingereza kwa ufasaha ndiye anapewa kipaumbele cha ajira,kumbe hapa target ni watoto wa wakubwa ambao wamesoma mchepuo wa kiingereza.

Sijawahi kumuona mtoto wa mkubwa akisoma Kayumba school....why kwasababu hawafundishi kwa kiingereza. Wenye nacho ndio wanaokula matunda ya nchi.

Elimu iwe sawa. Kama kiingereza kifundishwe kuanzia nursery schools mpaka chuo hapo tutakuwa sawa kwenye lugha maana kiswahili tayari kimeshakita mizizi hapa nchini mwetu.
 
Hata sheria wanazotunga ni kwa maslahi yao. Ikitokea akapatikana kiongozi mwingine wanamuundia zengwe ili atoke utadhani walisainishwa mkataba wa kuongoza siku zote.

Wasipopata madaraka wanatushawishi tuingie barabarani tuiondoe serikali iliyopo madarakani lakini hutawaona watoto wao, ndg na wake zao wakiongoza maandamano, hata ikitokea wakaupata huo uongozi hawana tena muda na waliowapigania.

Afrika tuna kasumba mbaya sana uroho wa madaraka, undugu, ukabila, ukanda, ubinafsi na roho mbaya ndivyo vinavyotufanya kuturudisha nyuma.

Sera mbovu ya elimu hili nalo ni janga. Watoto wetu wasomeshwe kwa kiswahili kwenye interview wanakwambia mwenye ujuzi wa kusoma, kuandika na kuongea kiingereza kwa ufasaha ndiye anapewa kipaumbele cha ajira,kumbe hapa target ni watoto wa wakubwa ambao wamesoma mchepuo wa kiingereza.

Sijawahi kumuona mtoto wa mkubwa akisoma Kayumba school....why kwasababu hawafundishi kwa kiingereza. Wenye nacho ndio wanaokula matunda ya nchi.

Elimu iwe sawa. Kama kiingereza kifundishwe kuanzia nursery schools mpaka chuo hapo tutakuwa sawa kwenye lugha maana kiswahili tayari kimeshakita mizizi hapa nchini mwetu.
Waafrika bado Sana Hatujafikia level ya maturity, uongozi ni ajira ya kutafuna kodi za wananchi,Ulaya,China, Uarabuni aisee unapotea hata maji uombi wapo makini Sana na kodi za wananchi sio hapa CAG anaimba kwaya KILA mwaka na mwakani watazipiga zaidi maana majizi yamerudi kazini.
Yaani tutapigwa mbele nyuma na wa kuyafunga hamna, maana jela ni kwa ajili ya watu masikini sababu hawana uwezo wa kununua UHURU wao kama wapigaji.
 
Hili jiwe lilipopatikana, aliyelichimba hakujua thamani yake hivyo akawauzia walanguzi kwa pesa mbuzi. Hivyo jiwe hilo likatoroshwa kwa siri na kuibwa, likaandaliwa fake documents na kuingizwa sokoni. Serikali haijui chochote na haijapata hata senti moja!.
Yaani tumepigwa mazima!.
P
Hizo story za kijiweni,inawezekana limepatikana thailand ndio likauzwa,huku wanauza block kubwa ambazo hupelekwa thailand huko ndio huchambua na kupata ruby ...itakua hata alieuza hilo block hakujua ndani kuna mali ya thamani kubwa
 
Miezi michache Kuna Dogo Wana mgodi wao Mahenge wa Ruby, aliniambia Kuna mtu alipata jiwe Kubwa sana akauza Dar Kwa 600million, na hao dealer walienda nje kuuza thamani ya Pesa ilikaribia 2billion.
 
Back
Top Bottom