Rubi kutoka Tanzania yavunja rekodi Dubai

Yes, japo ni kweli mwenye jiwe yuko huru kuuza Kwa yeyote, lakini lazima kodi za serikali zilipwe kutokana thamani halisi za madini hayo kwa bei ya soko. Ndio maana tulizuiaga mchanga wa dhahabu kwasababu under declaration.

Hivyo hata sasa japo jiwe lilo sokoni, serikali isipopata uthibitisho hilo jiwe limefikaje Dubai, tunaripoti interpol kuwa jiwe hilo ni mali ya wizi, hakuna mnada wowote utaendelea, hadi mmiliki athibitishe alinunua Kwa Nani, na baada ya mnada tunapigiana hesabu, tunalipwa chetu ndio biashara inaendelea.
P
Mama yuko fair sana...
Labda angekuwepo jiwe
 
Back
Top Bottom