jamani,zile nafasi za halmashauri ya wilaya ya ruangwa zilizotangazwa na utumishi walishaita watu kwenye usaili?
bado ,kumbuka kufuatilia website ya wizara ya utumishi,wakiita lazima waanike wazi mm pia niliomba kila siku nafuatilia bado hawajaita tuvute subira
jamani,zile nafasi za halmashauri ya wilaya ya ruangwa zilizotangazwa na utumishi walishaita watu kwenye usaili?