Rto wa moshi mfano wa kuigwa

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Wanandugu napendabinafsi kumpongeza mh huyu kazi nzuri na usiriasi anaouonyesha kwa madereva na mapolisi wenzake ;bwana huyu achoki kuweka mafuta na kuanza kwenda kwenye ajali kutoka moshi to usa,majuzi amenikuna sana alipo[igiwa na jamaa mmoja ambae alitakasababishiwa ajali pale ushira na DAR EXPRESS akusita kutuma defender ikaja kuliongoza basi kwenda kituoni alipofika unawezafikira polisi wa kawaida akamuuliza dreva unajua ulichoitiwa jama akanza kujichanganya,mara akataja na lile lililompeleka mwisho akamwambia nikufungulie file uje siku uko free m ntakupeleka mahakamani ndipo watanzania kumuombea msamaha;hakusita bwana yule kuwakemea abiria mnamwacha anaendesha gari kama kapakia wanyama,akaanza kutonyesha ajali zilizoua watu kwa usiku mmoja watu 9 ,hakika nikaamini vifo vingine ni sie abiria tunaviitaji,hakuna aliepiga kelele kwenye basi jama alikuwa akituyumbisha anavyotaka,..baada ya hapo akamwambia nenda akatoa namba zake akiendesha ovyo wampigie
sikuwa na hata biscuit ya karibu ila nilitamani kumpa ponngezi niliishia kumwambi mzee mungu akuongezee uhai,tunaomba watu kama hawa kila mkoa si mnaoogopa watu wakubwa ama wenye pesa zao na mwisho kuwaachia watu wakiua watu ovyo

B.G. KALUMUNA
SALUTE
 
Wanandugu napendabinafsi kumpongeza mh huyu kazi nzuri na usiriasi anaouonyesha kwa madereva na mapolisi wenzake ;bwana huyu achoki kuweka mafuta na kuanza kwenda kwenye ajali kutoka moshi to usa,majuzi amenikuna sana alipo[igiwa na jamaa mmoja ambae alitakasababishiwa ajali pale ushira na DAR EXPRESS akusita kutuma defender ikaja kuliongoza basi kwenda kituoni alipofika unawezafikira polisi wa kawaida akamuuliza dreva unajua ulichoitiwa jama akanza kujichanganya,mara akataja na lile lililompeleka mwisho akamwambia nikufungulie file uje siku uko free m ntakupeleka mahakamani ndipo watanzania kumuombea msamaha;hakusita bwana yule kuwakemea abiria mnamwacha anaendesha gari kama kapakia wanyama,akaanza kutonyesha ajali zilizoua watu kwa usiku mmoja watu 9 ,hakika nikaamini vifo vingine ni sie abiria tunaviitaji,hakuna aliepiga kelele kwenye basi jama alikuwa akituyumbisha anavyotaka,..baada ya hapo akamwambia nenda akatoa namba zake akiendesha ovyo wampigie
sikuwa na hata biscuit ya karibu ila nilitamani kumpa ponngezi niliishia kumwambi mzee mungu akuongezee uhai,tunaomba watu kama hawa kila mkoa si mnaoogopa watu wakubwa ama wenye pesa zao na mwisho kuwaachia watu wakiua watu ovyo

B.G. KALUMUNA
SALUTE
hayo ma-biscut ndiyo jamaa hapendi, angekuwa mpenda biscut asingekuja huko uchira na kuwafokea hata ninyi abiria. watanzania kweli tumekwisha haribika!!!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom