Nitaanzia wapi!? Wakukuumiza sio mimi....JPM atosha. Mtanyooka tu awamu hii. Mpaka miaka 7 iishe mtakaa sawa na kuheshimu Tanzania.Ha ha huna uwezo was kuniumiza.
Nitaanzia wapi!? Wakukuumiza sio mimi....JPM atosha. Mtanyooka tu awamu hii. Mpaka miaka 7 iishe mtakaa sawa na kuheshimu Tanzania.Ha ha huna uwezo was kuniumiza.
Weka list ya watuhumiwa wa hela ya escrow hapa tuone ni akina nani. Au kusikia wako smart ndo unaogopa. Hilo la kunyooka halita kaa litokee those people they have been in school na huwa wanajielewa sana ndo maana siyo watu wakuimba mapambia kama weweEti "those people are very smart"! Smart katika WIZI na uhujumu alright!
Unawajua vizuri walio-engineer ufisadi wa hela ya Escrow? Au unabubujikwa Povu tu! Kama una ushahidi mpeleke aliyekwepa KODI ya makontena kwenye vyombo husika.
Issue ya Rada kamuulize Basil Mramba ...sijui ni wa wapi huyo?
Wa kujitafakari ni Wewe na hao wezi wenzako. Awamu hii mtanyooka tu.
Hata kukwepa kodi pia ni kuhujumu nchi.Tuhuma za askari kusindkza kahawa ya magendo, kwa kuhujumu nchi, kwako hilo n jambo dogo?
JPM anawashughulikia chini ya sheria ipi? Wangapi wamefikishwa mahakamani? Mbona inaonekana kama vile ni personal vendettaAsilimia kubwa sana ya hawa jamaa wana Chuki na ubinafsi/ukabila wa ajabu sana kupita maelezo.
Nimefanya nao kazi katika Taasisi za serikali na binafsi, nimeishi na kushirikiana nao katika shughuli za kijamii...kwa hiyo nawajua vilivyo mkuu.
Hii Chuki waliyonayo kwa Mh. Rais wa JMT ni Dhahiri. Inapelekea mpaka kuwakejeli na kuwakashifu WASUKUMA na watu wa Kanda ya ziwa.
Asilimia kubwa ya hawa jamaa ni Wezi, wahujumu uchumi, wabadhilifu na wabinafsi sana. Bila kusahau wengi wao ndio walikuwa na Vyeti feki huko katika Taasisi za umma.
Kwa tabia za aina hiyo ni hakika pasi na shaka Watakuwa na Sumu ya Chuki kali sana kuliko hata Arcenic na Cyanide combined.
JPM anashughulikia wahujumu Taifa. Asilimia kubwa ya Wahujumu wa Taifa hili ni hao wanaomchukia na kusambaza Sumu ya Chuki na Ukabila katika Taifa letu kwa sasa.
Muda utaongea.
NB: Mimi ni Mtanzania mwenye asili ya Arusha (Masai.
Hata kama kweli aliwasaidia wananchi kusafirisha kupeleka Uganda, Tanzania wapandishe bei sasa unalima wewe, unahangaika wewe, bei wapange wao ,askari kafia uwanja wa mapambano, na ndio maana bukoba haiendeleiOlomi na Genge lake katika biashara haramu ya ulanguzi wa Kahawa.
Kumbuka mmoja ndio kosa lake la kwanza wakati mwingine ni imekuwa kawaida..lakini pia mzee alishasema ye hapangiwi..mambo haya mlikuwa mnapangia jk..ndio maana alimtumbua anna tibaijuka sababu ya maneno ya watu.Kahawa tu mtu katenguliwa, lakin kontena bandarini kulitokea kigugumizi hatari,
Nini maana yake na hatma ya nchi?
Wazaramo wanasema "kulia alie tetere akilia bundi tu UCHURU"
Kuna watu wanadamu za kunguni.
Hakuna mpuuzi yeyote kutoka Tanzania atakaefanya chochote kwa nchi.Mimi nawe tutabakia mashabiki maandazi tu.Mi naona ni bora wewe unaowatibu wapenzi wako maana.Umejiita daktari wa mapenzi.Ila kuhusu maendeleo tuishie kuimbishana ngonjera na kutukanana tu kama wasusi wa vibarazani.Nitaanzia wapi!? Wakukuumiza sio mimi....JPM atosha. Mtanyooka tu awamu hii. Mpaka miaka 7 iishe mtakaa sawa na kuheshimu Tanzania.
Hakuna tatizo wala hakuna sheria inayozuia Mh Rais kusimamisha RPC.kwanza naomba ifahamike kuwa Mh Rais ndiye amiri jeshi mkuu wa majeshi yote,kwa sababu hiyo yeye ndio kiongozi mkuu wa majeshi yote.pili yeye ndiye mwenye mamlaka yasiyo na kizuizi chochote maana ndio mkuu wa nchi.kwa sababu hiyo Rais kumsimamisha kamanda wa mkoa ni sawa.
Hasa wamachame..Daaa wachaga kwa ukabila mmependelewa. Ulishasikia rais kasema hawapendi wachaga au mnajihisihisi tu
Shida ya Tanzania, mtu uko "brain dead" na wewe unajidai mchambuzi. Kukwepa kodi? Tupe ingredients zake...Hata kukwepa kodi pia ni kuhujumu nchi.
Personal vendetta kwa kipi!? Be serious...JPM anawashughulikia chini ya sheria ipi? Wangapi wamefikishwa mahakamani? Mbona inaonekana kama vile ni personal vendetta
Usijifanye kichaa, inamaana hujui maana ya kukwepa kodi.Shida ya Tanzania, mtu uko "brain dead" na wewe unajidai mchambuzi. Kukwepa kodi? Tupe ingredients zake...
Hii ndio attitude ya MAJIZI ilipotufikisha hapa. Mtanyooka tu awamu hii.Hata kama kweli aliwasaidia wananchi kusafirisha kupeleka Uganda, Tanzania wapandishe bei sasa unalima wewe, unahangaika wewe, bei wapange wao ,askari kafia uwanja wa mapambano, na ndio maana bukoba haiendelei
Hatutanyooka nawe usijiite mmsai au tuongee kimasaiHii ndio attitude ya MAJIZI ilipotufikisha hapa. Mtanyooka tu awamu hii.
Bora umesema ww. CCM hawataki kuskia mzee wao diktetaKwani hujui kuwa chini ya utawala huu wa awamu ya tano, Katiba ya nchi na sheria nyinginezo zimekuwa "suspended" na kinachotamba kwa hivi sasa ni ONE MAN SHOW??
Weekend hii nina ratiba za kwenda kupiga picha pale Mfugale Flyover...nikupitie mkuu!?Hakuna mpuuzi yeyote kutoka Tanzania atakaefanya chochote kwa nchi.Mimi nawe tutabakia mashabiki maandazi tu.Mi naona ni bora wewe unaowatibu wapenzi wako maana.Umejiita daktari wa mapenzi.Ila kuhusu maendeleo tuishie kuimbishana ngonjera na kutukanana tu kama wasusi wa vibarazani.