thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
jana kuna uzi alileta quinine kwamba mbona zile ziara za kustukiza na kutumbua majipu hatuzisikii,mkaponda ooh! ilikua nguvu ya soda, one man show,haya sasa,mwendo mdundo huo,mteteeni kaonewaKwani hujui kuwa chini ya utawala huu wa awamu ya tano, Katiba ya nchi na sheria nyinginezo zimekuwa "suspended" na kinachotamba kwa hivi sasa ni ONE MAN SHOW??