akikujibu naomba unitagNgoja nikuulize swali moja, kama Rais angekuwa fair kweli tungeendekea kweli kuwa naye Bashite hadi Leo, bila kutumbuliwa??
Kuna cha kujifunza,wale waliokuwa wanajifanya wanambeba yule jamaaa ndio waone hali halisi ilivyoKahawa tu mtu katenguliwa, lakin kontena bandarini kulitokea kigugumizi hatari,
Nini maana yake na hatma ya nchi?
Eti "those people are very smart"! Smart katika WIZI na uhujumu alright!So wale walokwepa kodi ya makontena ya furniture ndo hao hao. Hata kwa ile list ya hela ya esrow wao ndo walotajwa huko list ya rada na ufisadi wote wao ndo walotajwa huko. Jitafakari ndugu. Those people are very smart acha kutokwa povu lisilo na utafiti
Anachotoa yule bwana mdogo wengine hawawezi kutoa aisee mwacheni apete tu
Salalee!
JPM anachukiwa kwa maovu yakeKwa sasa Himaya mnayojenga kwa kisingizio cha awamu hii, inawaonea, kitawagharimu soon. Hakuna asiyejua kuwa asilimia 90 ya wanaomchukia JPM, ni nyie.
Shauri yenu, moto mnaoupekecha, sijui nani atauzima
Dogo unachemkaEti "those people are very smart"! Smart katika WIZI na uhujumu alright!
Unawajua vizuri walio-engineer ufisadi wa hela ya Escrow? Au unabubujikwa Povu tu! Kama una ushahidi mpeleke aliyekwepa KODI ya makontena kwenye vyombo husika.
Issue ya Rada kamuulize Basil Mramba ...sijui ni wa wapi huyo?
Wa kujitafakari ni Wewe na hao wezi wenzako. Awamu hii mtanyooka tu.
Usibishane na ukweli mkuu! Ki ukweli wachagga wana wakati mgumu sana awamu hii!Kwa sasa Himaya mnayojenga kwa kisingizio cha awamu hii, inawaonea, kitawagharimu soon. Hakuna asiyejua kuwa asilimia 90 ya wanaomchukia JPM, ni nyie.
Shauri yenu, moto mnaoupekecha, sijui nani atauzima
Leo ni mwaka wa3 wa urais wake; amefanya kazi kubwa ya miundo; ameleta nidhamu ya woga kazini; amefanikiwa katika mengi kwa mbinu hasi. Hajawahi kuwa fair!Ngoja nikuulize swali moja, kama Rais angekuwa fair kweli tungeendekea kweli kuwa naye Bashite hadi Leo, bila kutumbuliwa??
Kwa sasa Himaya mnayojenga kwa kisingizio cha awamu hii, inawaonea, kitawagharimu soon. Hakuna asiyejua kuwa asilimia 90 ya wanaomchukia JPM, ni nyie.
Shauri yenu, moto mnaoupekecha, sijui nani atauzima
Ha ha huna uwezo was kuniumiza.Ikiuma chomoa. Usivumilie usije pata tabu sana.
Mtu yeyote, wakati wowote, atakayepambana na wezi ktk nchi hii, lazima ataonekana anapambana na Wachaga... Hii n kwa sababu wezi wengi wa serikalini ni wao, wavamia mabenki ni wao, benki zinazotumika kupitisha hela za wizi zinaoongozwa na wao, wauza cha Arusha ni wao, majangili ni wao. Wako kama Wakikuyu wa Kenya, isipokuwa wao bado wanaitafuta Ikulu, na siku wakiipata tutakomaKama kasimamishwa basi ni kwa sababu ni Mchaga.Nchi hii kwa sasa wachaga hawatakiwi na katika wadhifa wowote, jiwe anawachukia sana
Ni kweli kabisa mfano mahoteli ,mahoteli mengi ya wakinga na wahindi yanadunda kama kawaida .Hoteli nyingi zilizofungwa na zenye hali ngumu ni za wachaga..Hoteli zao nyingi zinapumulia mashine wakati za wenzao zinadunda kama kawaidaKujishughulisha na biashara kwa hulihujumu Taifa na kukwepa KODI!? Unajua ni kwa nini maduka mengi ya wachaga kariakoo yamefungwa na kukimbia biashara!? Kwa nini wahindi, wakinga na makabila mengine wanaendelea na biashara kama kawaida!?
Acheni kujitoa ufahamu wapuuzi nyinyi! Mkiambiwa ukweli mnabubujikwa POVU.
Awamu hii mtanyooka tu. JPM anawapa dozi yenu mnayostahili. Mmelifuja Taifa hili vya kutosha.
hilo lipo wazi sanaKama kasimamishwa basi ni kwa sababu ni Mchaga.Nchi hii kwa sasa wachaga hawatakiwi na katika wadhifa wowote, jiwe anawachukia sana
Tuhuma za askari kusindkza kahawa ya magendo, kwa kuhujumu nchi, kwako hilo n jambo dogo?Kahawa tu mtu katenguliwa, lakin kontena bandarini kulitokea kigugumizi hatari,
Nini maana yake na hatma ya nchi?
Kupiga kura ni haki yako ya kikatiba, lakini usitarajie kuteuliwa kushika wadhifa wowote mkubwa!Si kweli,mm mchaga lakini namkubali jiwe na hata uchaguzi ukirudiwa asubuhi hii nampa kura.Hoja ni kuhusu uhalali wa ikulu kumsimamisha ina swihi au la!
Kukwepa kodi bandarini ndo jambo dogoTuhuma za askari kusindkza kahawa ya magendo, kwa kuhujumu nchi, kwako hilo n jambo dogo?