mange anasema muwe barabarani saa 8 kamili mchana......
..kama Abduli na Wanu wangekuwa ndio wanaotukabili tungeandamana. Lakini sio hawa watoto wa masikini waliopewa marungu na mabomu.
mange anasema muwe barabarani saa 8 kamili mchana......
Mwanamke mpumbavu sio wa kumpa nafasi muhimu ya kiongozi sehemu yoyote ile hata ngazi ya mtaa.Nimeziona Toyota double cabin mpya (zero kilometer) za kutosha eti kwa ajili ya uchaguzi! Aisee haya mambo yanaogopesha mpaka basi. Kama kuna watu walikuwa wanambip, sasa ameamua kupiga.
NB:- Mwanamke siyo kiumbe wa kushindana naye!
Vizazi hivi haviibuki tu vintengenezwavizazi vijacho kauli kama hizi anajikuta kazungurukwa na wahuni
Na nyinyi kuhongwa magari mapya na Mzanzibari, tauri mnaona ni halali kuwaua Watanganyuka wenzenu ili mtawaliwe kirahisi na akina Chivayo. Akili mkaa kweli kweli.halafu nyinyi ndio mange anawasubiria muingie rodini.....
Wao ndio wanavitengeneza bila kujua..Vizazi hivi haviibuki tu vintengenezwa
Sahihi kabisa, lakini ipo siku raia watachokaHuu uchaguzi kuna maaskari watautumia kupandishiwa vyeo kwa kuua wanainchi... hili taifa lina laana
Hata mimi naamini hivyo, mwisho wao umekaribiaSahihi kabisa, lakini ipo siku raia watachoka