GE2025 RPC Maigwa: Hakuna Mwananchi wala Askari aliyeumizwa Oktoba 29 Kilimanjaro

GE2025 RPC Maigwa: Hakuna Mwananchi wala Askari aliyeumizwa Oktoba 29 Kilimanjaro

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa hakuna mwananchi au askari Polisi wa Jeshi hilo Mkoani humo aliyejeruhiwa au kupoteza maisha kutokana na Vurugu zilizotokea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa ameeleza hayo Novemba 4, 2025 mbele ya Wanahabari Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

Amesema kuwa Jeshi hilo lilitumia busara na weledi kuwatawafanya raia wachache ambao walionekana kuanza kuchoma matairi kwenye baadhi ya maeneo ya Mji wa Moshi

Soma pia GE2025 - Polisi Kilimanjaro yawaachilia huru vijana 300 waliokamatwa kwa kudaiwa kushiriki maandamano ya Oktoba 29

 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa hakuna mwananchi au askari Polisi wa Jeshi hilo Mkoani humo aliyejeruhiwa au kupoteza maisha kutokana na Vurugu zilizotokea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa ameeleza hayo Novemba 4, 2025 mbele ya Wanahabari Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

Amesema kuwa Jeshi hilo lilitumia busara na weledi kuwatawafanya raia wachache ambao walionekana kuanza kuchoma matairi kwenye baadhi ya maeneo ya Mji wa Moshi

Soma pia GE2025 - Polisi Kilimanjaro yawaachilia huru vijana 300 waliokamatwa kwa kudaiwa kushiriki maandamano ya Oktoba 29

Kwahiyo huyu msenge bosi wake katoa pole ya uongo?!
 
Back
Top Bottom