Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,729
- 1,325
Awashikilie na traffic waliokua zamu siku hiyo..... Twende sawa
humu JF ukijidai una hisia utajinyonga bure, take it easy/relax na ufurahie maisha. Hunijui Sikujuiwatu kama nyie ni kuwakalia kimya tu usiniquote tena
Umejuaje kuwa dreva ndiye mkosaji?? Kuna kitu inaitwa "employer liability"!Unachekesha. Kosa ni la dereva na tayari ni marehemu.
Nikweli hata logic ya kawaida haiji kabisa Tz bado tuna kazi kumbwa ya kufikiria.kuanzia raia we kawaida hadi RPC fikira ni zilezile au kwasababu ya shule zetu zakayumba?sijaelewa kosa lake mmiliki wa shule
Dadavua Employer liability inakuaje?Umejuaje kuwa dreva ndiye mkosaji?? Kuna kitu inaitwa "employer liability"!
Mmmh haisaidiii cha msingi ni kusimamia suala zima la usalama tuu barabaran mana hata huku town macosta siyana beba hata zaid yahao 30 na inaonekana nikawaida tuu sembuse wanafunz ambao ni familia.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha ( RPC ), Charles Mkumbo amesema wanamshikilia mmiliki wa basi dogo aina ya Coaster ambayo ilipata ajali na kusababisha vifo kwa wanafunzi, walimu na dereva siku ya Jumamosi huko Karatu, Arusha.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha ( RPC ), Charles MkumboRPC Mkumbo amedai wanamshikilia mmiliki wa shule hiyo kwa kuruhusu gari yake hiyo kubeba abiria wengi zaidi kuliko uwezo wa gari "Siku ya tukio walikuwepo abiria 38 kwenye gari katika uchunguzi baada ya kubaini hilo tumeshachukua hatua kwa mtu aliyewezesha gari hilo kupakia hao watu.
Tumeshamkamata mmiliki wa gari ambaye ndiye mwenye shule hii, sasa hivi tunaendelea na uchunguzi na utakapokamilika atafikishwa mahakamani"alisema RPC wa Arusha Kwa mujibu wa Mkumbo anasema gari hiyo ilikuwa na kibali cha kubeba watu 30 lakini gari hiyo siku ya ajali ilikuwa na watu zaidi ya 30.
Chanzo: EATV
Akili zako ziko matak*n* eeeh? Huko ni sehemu ya kutolea uchafu sio kufikiri,tumia kichwa kufikiri,kujiheshimu ili uheshimiwe!Negligence itamfaa basi ama si unajua tena si Ma-bush lawyer (tunababia babia taaluma za watu).
** Kaimu Jaji Mkoou alimuwakilisha nan pale?
Mwenye shule anakosa gani? tatizo sisi wantazania tuna tabia yakua na chuki na mtu anae jitahidi kiuchumi bila sababu za msingi. matharani kuna mkuu wa shule, makamu, mtaaluma Mwl wazamu, driver viraja hao ndowanao ratibu shughuri za kila Siku za shule. Sasa hapo menaje au Mmiliki anaingilia wapi? shule ngekua ya Kanisa au serikali archbishop au Waziri wa elimu ndoangewekwa lockup kweli ? let us be fair to private sectorToka hii ajali itokee nimeshangaa sijamuona mmiliki wa shule wala kutajwa ni nani. Hii kwangu ndio habari ya kwanza inamgusia mwenye shule.
Si kidogo!!serikali na vituko
Kwa hiyo mmiliki wa hiyo minibus ndo huyo huyo mmiliki wa shule?
Acha daradara, defender za police zina beba zaidi ya uwezo wakiwa wanaenda lindoni au wakiwa wanatoka kibaya Saudi wakiwa wamesimama au wenyewe sio binaadamu charity begins at home.Movie ndo inaanza mbona kwenye daladala tunabebwa wengi hata kwenye mwendo kasi pia hzo sinema mnaleta
Wazee wa fine hawakuwepo road siku hiyo labda!!Ni makosa yake ndio, unakuaje na gari bovu barabarani na unaenda safari huku umebeba watoto? TEKA HUYO jamaa,
Swali bora kabisa la sikuSwali, Je endapo ajali isingetokea, wangemshikilia mmiliki wa hilo basi?
Kuzidisha abiria ni kosa.duh kwa yeye ndio Dereva