Royal Bloodline. Damu Takatifu

Kama wewe ni muumini wa dini yoyote tafadhali usisome hapa acha, usije ukabadili fikra za misimamo yako na utafunguka macho kisha utaanza kuuliza maswali.
 
Sasa mbona hata wewe bado huko kwenye cage ile ile kuendelea kuamini vitu vya kusadikika na visivyo halisia kwa kigezo cha kwamba ukijua unachokijua sasa unaondokana na utumwa.

Kisa tu umebadili mtizamo wako kuhusu ulichoaminishwa mwanzo nakuaminishwa kivingine na wanadamu hao hao kupitia ushahidi ule ule wa maandishi, historia na maruweruwe haimaanishi sasa wajua ukweli.

Kifupi mi naamini kuwa huru kwa binadamu nikuondokana na fikra zote za kiimani/kuumbwa na chochote kile/ kutawaliwa na wengine badala yake afikie hatua ya kujitawala binafsi nakujiamulia chochote bila mipaka iwe physical(kusiwepo na serikali,sheria au jamii kuingilia maamuzi binafsi) au kiimani(pasipo na dini au imani juu ya chochote kile) kitu ambacho akiwezi kuwa utaishia kutuambia tuendelee na illusions za meditation tuujue ukweli,tufuatilie historia ya kale inasemaje, mara tafiti za kisayansi zilizofanyika n.k,

Zaidi zaidi tutaendelea kupotoshana mpaka kufikia mwisho atokuwepo na ajuhae ukweli zaidi ya uongo ulochanganyikana na ukweli usiyo weza thibitika kiithibati ukishindwa zaidi mwisho utatuambia ni mambo ya kiroho ushahidi wake ni wakiroho hivyo tutarudi mwanzo pale pale kufikirika.
 
Sasa mbona hata wewe bado huko kwenye cage ile ile kuendelea kuamini vitu vya kusadikika na visivyo halisia kwa kigezo cha kwamba ukijua unachokijua sasa unaondokana na utumwa.

Kisa tu umebadili mtizamo wako kuhusu ulichoaminishwa mwanzo nakuaminishwa kivingine na wanadamu hao hao kupitia ushahidi ule ule wa maandishi, historia na maruweruwe haimaanishi sasa wajua ukweli.

Kifupi mi naamini kuwa huru kwa binadamu nikuondokana na fikra zote za kiimani/kuumbwa na chochote kile/ kutawaliwa na wengine badala yake afikie hatua ya kujitawala binafsi nakujiamulia chochote bila mipaka iwe physical(kusiwepo na serikali,sheria au jamii kuingilia maamuzi binafsi) au kiimani(pasipo na dini au imani juu ya chochote kile) kitu ambacho akiwezi kuwa utaishia kutuambia tuendelee na illusions za meditation tuujue ukweli,tufuatilie historia ya kale inasemaje, mara tafiti za kisayansi zilizofanyika n.k,

Zaidi zaidi tutaendelea kupotoshana mpaka kufikia mwisho atokuwepo na ajuhae ukweli zaidi ya uongo ulochanganyikana na ukweli usiyo weza thibitika kiithibati ukishindwa zaidi mwisho utatuambia ni mambo ya kiroho ushahidi wake ni wakiroho hivyo tutarudi mwanzo pale pale kufikirika.

kwa upande wa “binadamu uhuru sio kujitawala tuu na kuondokana na fikra zote walizozikuta pale zaliwa na kupandikiziwa. Ni zaidi ya kujitawala.

Nguvu ya mwanadamu ipo katika hisia ( feelings and emotions). Kwa mfano shuleni mwanadamu hufundishwa kuwa yeye ndiye mtawala wa viumbe vyote wanyama na mimea ila kiuhalisia mwanadamu hayupo top of food chain.

Kuna Viumbe wasioonekana wanaotawala hii dunia chakula chao ni hisia na mihemko ya watu wasiojua nini kinacho waongoza. Chakula cha viumbe hao ni negative reactions kutoka kwa jamii ya adam na eva kwa kuumiza hisia na watu wa asili wa dunia hii. Jamii hiyo ya admu ndio inayomaliza morality ya dunia yetu. Jamii hiyo sio product ya nature. Ni false creation.

Unaamini vipi kwamba mimi nipo kwenye cage. Vp kama nimetumia mfano tuu ilikufikisha kile nilicho kusudia?

Ni ngumu nashindwa kuelezea katika lugha ya kueleweka kirahisi
 
BANDIKO FIKIRISHI

Ila kuna mambo ya kuendelea kujiuliza na kufikiria pia.....

Umeongelea kuhusu ROYAL BLOODLINE...

Kwanza tukubaliane kuwa ROYALITY ina maana ya kizazi cha watawala wowote wale wa kurithishana kule iwe DYNASTIES za China(ziko 83) ,Emir &Amira ,Sultan and Sultana etc.

Watawala hao hupewa majina tofauti kulingana na LUGHA husika (Mwami ,Khan ) n.k

Kwa maana hiyo BANDIKO limejikita tu kuelezea WATAWALA WA KURITHISHANA HUKO ULAYA...wakaitwa vizazi 13 vya Illuminati vinavyotawala dunia....japo kama sijakosea kimetajwa KIMOJA tu na hatujaviona hivyo vingine 12......

KIZAZI HIKI KIMOJA(WINDSOR FAMILY)
********************

Ni kweli pasi na shaka hii familia ya WINDSOR imeanza hivi karibuni tu mwaka 1917......

Ukiisoma historia ya asili ya familia hii unarudi nyuma sana zaidi ya SAXE- COBURG AND GOTHA......

Kule UJERUMANI kabla ya karne ya 15 kulikuwa na hao watawala wa DURCHY OF SAXONY......
Tafuta kitabu kinaitwa Big Secret cha mwandishi David Icke ameandika vizuri historia ya Hizi Bloodlines na Religion
 
Kwahiyo mkuu sisi watu wa asili(tulio wema) ya hii dunia tukifa hatuendi kumuona yehova?

Na hao marobot(wasio wema) je?
Lakini situmeambiwa walio wema ndo watamuona jehova...

Haya mambo yanachanganya sana
 
Mamboo yoote haya mtachanganyikiwa tu! Bila Mungu wa kweli kukuongoza mtaumia sana! mtashika huku na huko tu! hata mimi nilikuwa km wewe wkt wa giza! lkn nili jitahidi nikapata njia ya kweli! Royal bld line hawawezi kuwa wachache hivo!

Na jua kwamba Nephillim walikuwepo kabla ya gharika na baada ya gharika! kazi kubwa ya ivo vitabu hapa ni kumtia Mwanadamu comfusions, asijue wapi pa kuegemea! kumbukeni tu kuwa waafrica Mta/mna abudu msichokijua. na mmeshikwa pabaya na nephilims.

kamwe hamchomoki ! bila neema! kataa ukome kubali uwe huru! Duniani humu mpaka sasaivi kuna watu tunaishi nao ktk kifamilia zetu, hata na kuzaliwa nao tunakua wote lkn siyo wanadamu! but tumefungwa!

ok! Merovengian families, Maquiz de Libex Families nk! ni miongoni mwao hao 13, hizi ziliibuka ghafla, Kutokea sehemu za Ulaya, maarufu Cauccas Mt. karibu na uguriki ya leo! tena zikiwa maskini za kutupwa, choka mbaya,

so zaidi wakaelekea Kusini ya ulaya, ambako huko ndiyo kuliko kuwa na mendeleo makubwa sana Duniani enzi hizo, familia hizi hazina miaka zaidi ya 6000 tu ilopita! hawana U- Royal wowote! kwanza wamebakia wachache mnoo! na hawazaliani saana!

Richa yakuwa na maisha mazuri, mali na mipesa miiingi! ni aslimia 2% tu! ya world populations! hawana capacity ya kuzaliana km Weusi wanavo zaliana! sababu miili yao haizalishi Melanin za kutoshelezea via vya uzazi wao! ila hili wana lifanya siri kubwa!

Mweusi hata dada ako akikukalia vizuri unampelekea moto! hii ni kwa sababu tuna Melanin nyingi! lk hao R. bld line! hawana! ndo maana maksudi tu! Hurry karuhusiwa kwenda kuchukua kwa yule Mdada mwenye asili ya weusi wa Africa!

Leo hii Ulaya yoote kwa ujumla wake wanatamani vijana weusi kutoka africa, na Latin america, waende kuishi milele, kuoa na kuzaa huko Ulaya sababu ni wanahitaji Melanin Blend distribution, kwa population zao! kwa kivuli cha usamaria wema!

Lkn watu km Jiwe walikuwa mojawapo ya wapigaji marufuku waafrica kwenda huko! leo jiwe yuko wapi?

Njia mojawapo wanayotumia ni kuchochea vita vya wenyewe kwa wenyewe barani Africa na Latin America, ili wao (Ulaya) wavune watu wengi wenye asili ya Melanin kutoka africa ya weusi, ili zaidi, wakafanyane na vizazi vyao!

hence, wazae watu machotara! but in concealed manner! wachache tunajua hili! maana wazungu wenzetu wale vizazi vyao vinaishia ivo! licha ya kula sana, bata zao izo!

sasa wanatuvuna vijana weusi chini ya mwamvuli wa usamaria wema wa kupokea wakimbizi wakti wao wenyewe ndo wanazalisha hao wakimbizi, mwishowe kule ulaya, ndo kutakuwa Africa unadhani Africa ingekuwa na amani tu, nani angekimbilia Ulaya?

Royal blood grail za Ulaya ni matisho tu! dhidi ya tabaka tawaliwa na umma wa Mwafrica, ukienda mbele zaidi watakwambia wao Wako, super DNA connected na Mafaraoh! wa Misri, eti walianza kutawala Dunia kabla ya Yesu!

Kumbuka tu kuwa Nefilim walikuwepo kabla na baada ya GHArika utawajuaje sasa..... kazi ipo.....
 
Kwahiyo mkuu sisi watu wa asili(tulio wema) ya hii dunia tukifa hatuendi kumuona yehova?

Na hao marobot(wasio wema) je?
Lakini situmeambiwa walio wema ndo watamuona jehova...

Haya mambo yanachanganya sana

Hakuna kitu kinaitwa yehova au jehova ni kunda la miungu 24 ambao 12 ni wa haki na 12 ni wa batili. Wote wanaongoza na ndio wakuu wa hii matrix
 
Mamboo yoote haya mtachanganyikiwa tu! Bila Mungu wa kweli kukuongoza mtaumia sana! mtashika huku na huko tu! hata mimi nilikuwa km wewe wkt wa giza! lkn nili jitahidi nikapata njia ya kweli! Royal bld line hawawezi kuwa wachache hivo!

Na jua kwamba Nephillim walikuwepo kabla ya gharika na baada ya gharika! kazi kubwa ya ivo vitabu hapa ni kumtia Mwanadamu comfusions, asijue wapi pa kuegemea! kumbukeni tu kuwa waafrica Mta/mna abudu msichokijua. na mmeshikwa pabaya na nephilims.

kamwe hamchomoki ! bila neema! kataa ukome kubali uwe huru! Duniani humu mpaka sasaivi kuna watu tunaishi nao ktk kifamilia zetu, hata na kuzaliwa nao tunakua wote lkn siyo wanadamu! but tumefungwa!

ok! Merovengian families, Maquiz de Libex Families nk! ni miongoni mwao hao 13, hizi ziliibuka ghafla, Kutokea sehemu za Ulaya, maarufu Cauccas Mt. karibu na uguriki ya leo! tena zikiwa maskini za kutupwa, choka mbaya,

so zaidi wakaelekea Kusini ya ulaya, ambako huko ndiyo kuliko kuwa na mendeleo makubwa sana Duniani enzi hizo, familia hizi hazina miaka zaidi ya 6000 tu ilopita! hawana U- Royal wowote! kwanza wamebakia wachache mnoo! na hawazaliani saana!

Richa yakuwa na maisha mazuri, mali na mipesa miiingi! ni aslimia 2% tu! ya world populations! hawana capacity ya kuzaliana km Weusi wanavo zaliana! sababu miili yao haizalishi Melanin za kutoshelezea via vya uzazi wao! ila hili wana lifanya siri kubwa!

Mweusi hata dada ako akikukalia vizuri unampelekea moto! hii ni kwa sababu tuna Melanin nyingi! lk hao R. bld line! hawana! ndo maana maksudi tu! Hurry karuhusiwa kwenda kuchukua kwa yule Mdada mwenye asili ya weusi wa Africa!

Leo hii Ulaya yoote kwa ujumla wake wanatamani vijana weusi kutoka africa, na Latin america, waende kuishi milele, kuoa na kuzaa huko Ulaya sababu ni wanahitaji Melanin Blend distribution, kwa population zao! kwa kivuli cha usamaria wema!

Lkn watu km Jiwe walikuwa mojawapo ya wapigaji marufuku waafrica kwenda huko! leo jiwe yuko wapi?

Njia mojawapo wanayotumia ni kuchochea vita vya wenyewe kwa wenyewe barani Africa na Latin America, ili wao (Ulaya) wavune watu wengi wenye asili ya Melanin kutoka africa ya weusi, ili zaidi, wakafanyane na vizazi vyao!

hence, wazae watu machotara! but in concealed manner! wachache tunajua hili! maana wazungu wenzetu wale vizazi vyao vinaishia ivo! licha ya kula sana, bata zao izo!

sasa wanatuvuna vijana weusi chini ya mwamvuli wa usamaria wema wa kupokea wakimbizi wakti wao wenyewe ndo wanazalisha hao wakimbizi, mwishowe kule ulaya, ndo kutakuwa Africa unadhani Africa ingekuwa na amani tu, nani angekimbilia Ulaya?

Royal blood grail za Ulaya ni matisho tu! dhidi ya tabaka tawaliwa na umma wa Mwafrica, ukienda mbele zaidi watakwambia wao Wako, super DNA connected na Mafaraoh! wa Misri, eti walianza kutawala Dunia kabla ya Yesu!

Kumbuka tu kuwa Nefilim walikuwepo kabla na baada ya GHArika utawajuaje sasa..... kazi ipo.....

Point nzuri nimefurahi at least mtu mmoja ameahajua hii siri katika familia zetu kuna watu tunaishi nao lakini sio binadamu wa kawaida. Asante mkuu uko vizuri.
 
Ety utafunguka macho...uko sio kuona nuru bali kuingia gizan

Fafanua mkuu, watu wengi wamekaririshwa mtazamo kuhusu dunia. Imagine toka unazaliwa unasoma shuleni na dini fikra za watu wengine kwani wewe huna uwezo wa kutengeneza fikra zako ukaamini pekeyako bila kufata mkumbo?
 
Hao miungu 24 nao walitoka wapi mjomba.

Sent using Jamii Forums mobile app

Swali zuri. Mungu wa kweli anaitwa The All au jina lingine anaitwa El kuluwm yeye ndie 720 degrees. Duara lina nyuzi 360 na mzingo una nyuzi 360 kama jengo la al kaba pale maka ni box la nyuzi 360 ukiunganisha box la pembe nne manake ni ulimwengu wa vitu vinavyo onekana kwa macho. (Saturn) ukiunganisha duara la nyzi 360 ndio ulimwengu usio onekana. The All ni jumala ya physical and spiritual. Ukifata dini unaabudu saturn.
 
Hao miungu 24 nao walitoka wapi mjomba.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hao miungu 24 wamegawanyika makundi mawili kundi la kwanza 12 ni kijani kibichi rangi yao damu yao ambao asili yao ni wapole na watiifu na watukufu sana wanaitwa sarufaati.

Kundi la pili 12 la miungu hao wameumbwa na amber light ambao sio viumbe wazuri ni wakaidi na wapenda shari na waasi.

Hawa wote wanatokana na The All. Na kazi zao ni ku balance dunia na ulimwengu kati ya mema na mabaya.

Na kumbukubo zote nzuri zinawekwa katika kitabu kitukufu kinaitwa Akasha au sijjiyn kwa walio wema. Kwa wabaya kumbukumbu zao ninawekwa kwenye kitabu kibaya cha illyuwn. Nafkiri umepata picha.
 
Hawatakuelewa kamwe Hawa
Ila hawajui tu na nawachora tu Kwa comments zao Bado ni Vipofu,

Mkuu Badison kiufupi unawaambia watu kitu kigumu Sana Sana
Na hii elimu wengi hawaijui wataishia kukubeza
Laiti wengewajua ANNUNAKI
Ni viumbe Gani labda wangeelewa Nini unamaanisha wengi wanaishi nje ya ukweli wa mambo,
Kila nikigusia kwenye baadhi ya maada kuwahusu Kuna watu wananibishia ila hawajui hao viumbe project ya kuwafanyia cloning watu
Na kuwageuza wanadamu
Na kuanza kuwacontrol Kwa kupandikiza DNA zao
Watu ukiwaambia Adam & eve ilikua cloning project hata hawaelewi,
Ukiwaambia jamii ya watu weusi wao ni watu sio Binadamu
Watakuona mwehu,
Yote sababu wamelishwa propaganda na kufungwa akili Kwa kupewa Dini zisizowahusu na kuwatukuza Binadamu na kusahau wao ni watu hata hawaelewi
Matatizo ya bara letu yalianza pale Hawa viumbe vilipoingilia mzunguko wa maisha yetu hii ilitufanye tuache kuishi Kwa nature na kuanza fuata life fake na Afrika hatutakuja kukombolewa kamwe

Asili,nature = Watu ambao ni =
pure Blacks!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom