Sasa mbona hata wewe bado huko kwenye cage ile ile kuendelea kuamini vitu vya kusadikika na visivyo halisia kwa kigezo cha kwamba ukijua unachokijua sasa unaondokana na utumwa.
Kisa tu umebadili mtizamo wako kuhusu ulichoaminishwa mwanzo nakuaminishwa kivingine na wanadamu hao hao kupitia ushahidi ule ule wa maandishi, historia na maruweruwe haimaanishi sasa wajua ukweli.
Kifupi mi naamini kuwa huru kwa binadamu nikuondokana na fikra zote za kiimani/kuumbwa na chochote kile/ kutawaliwa na wengine badala yake afikie hatua ya kujitawala binafsi nakujiamulia chochote bila mipaka iwe physical(kusiwepo na serikali,sheria au jamii kuingilia maamuzi binafsi) au kiimani(pasipo na dini au imani juu ya chochote kile) kitu ambacho akiwezi kuwa utaishia kutuambia tuendelee na illusions za meditation tuujue ukweli,tufuatilie historia ya kale inasemaje, mara tafiti za kisayansi zilizofanyika n.k,
Zaidi zaidi tutaendelea kupotoshana mpaka kufikia mwisho atokuwepo na ajuhae ukweli zaidi ya uongo ulochanganyikana na ukweli usiyo weza thibitika kiithibati ukishindwa zaidi mwisho utatuambia ni mambo ya kiroho ushahidi wake ni wakiroho hivyo tutarudi mwanzo pale pale kufikirika.
Tafuta kitabu kinaitwa Big Secret cha mwandishi David Icke ameandika vizuri historia ya Hizi Bloodlines na ReligionBANDIKO FIKIRISHI
Ila kuna mambo ya kuendelea kujiuliza na kufikiria pia.....
Umeongelea kuhusu ROYAL BLOODLINE...
Kwanza tukubaliane kuwa ROYALITY ina maana ya kizazi cha watawala wowote wale wa kurithishana kule iwe DYNASTIES za China(ziko 83) ,Emir &Amira ,Sultan and Sultana etc.
Watawala hao hupewa majina tofauti kulingana na LUGHA husika (Mwami ,Khan ) n.k
Kwa maana hiyo BANDIKO limejikita tu kuelezea WATAWALA WA KURITHISHANA HUKO ULAYA...wakaitwa vizazi 13 vya Illuminati vinavyotawala dunia....japo kama sijakosea kimetajwa KIMOJA tu na hatujaviona hivyo vingine 12......
KIZAZI HIKI KIMOJA(WINDSOR FAMILY)
********************
Ni kweli pasi na shaka hii familia ya WINDSOR imeanza hivi karibuni tu mwaka 1917......
Ukiisoma historia ya asili ya familia hii unarudi nyuma sana zaidi ya SAXE- COBURG AND GOTHA......
Kule UJERUMANI kabla ya karne ya 15 kulikuwa na hao watawala wa DURCHY OF SAXONY......
Kwahiyo mkuu sisi watu wa asili(tulio wema) ya hii dunia tukifa hatuendi kumuona yehova?
Na hao marobot(wasio wema) je?
Lakini situmeambiwa walio wema ndo watamuona jehova...
Haya mambo yanachanganya sana
Mamboo yoote haya mtachanganyikiwa tu! Bila Mungu wa kweli kukuongoza mtaumia sana! mtashika huku na huko tu! hata mimi nilikuwa km wewe wkt wa giza! lkn nili jitahidi nikapata njia ya kweli! Royal bld line hawawezi kuwa wachache hivo!
Na jua kwamba Nephillim walikuwepo kabla ya gharika na baada ya gharika! kazi kubwa ya ivo vitabu hapa ni kumtia Mwanadamu comfusions, asijue wapi pa kuegemea! kumbukeni tu kuwa waafrica Mta/mna abudu msichokijua. na mmeshikwa pabaya na nephilims.
kamwe hamchomoki ! bila neema! kataa ukome kubali uwe huru! Duniani humu mpaka sasaivi kuna watu tunaishi nao ktk kifamilia zetu, hata na kuzaliwa nao tunakua wote lkn siyo wanadamu! but tumefungwa!
ok! Merovengian families, Maquiz de Libex Families nk! ni miongoni mwao hao 13, hizi ziliibuka ghafla, Kutokea sehemu za Ulaya, maarufu Cauccas Mt. karibu na uguriki ya leo! tena zikiwa maskini za kutupwa, choka mbaya,
so zaidi wakaelekea Kusini ya ulaya, ambako huko ndiyo kuliko kuwa na mendeleo makubwa sana Duniani enzi hizo, familia hizi hazina miaka zaidi ya 6000 tu ilopita! hawana U- Royal wowote! kwanza wamebakia wachache mnoo! na hawazaliani saana!
Richa yakuwa na maisha mazuri, mali na mipesa miiingi! ni aslimia 2% tu! ya world populations! hawana capacity ya kuzaliana km Weusi wanavo zaliana! sababu miili yao haizalishi Melanin za kutoshelezea via vya uzazi wao! ila hili wana lifanya siri kubwa!
Mweusi hata dada ako akikukalia vizuri unampelekea moto! hii ni kwa sababu tuna Melanin nyingi! lk hao R. bld line! hawana! ndo maana maksudi tu! Hurry karuhusiwa kwenda kuchukua kwa yule Mdada mwenye asili ya weusi wa Africa!
Leo hii Ulaya yoote kwa ujumla wake wanatamani vijana weusi kutoka africa, na Latin america, waende kuishi milele, kuoa na kuzaa huko Ulaya sababu ni wanahitaji Melanin Blend distribution, kwa population zao! kwa kivuli cha usamaria wema!
Lkn watu km Jiwe walikuwa mojawapo ya wapigaji marufuku waafrica kwenda huko! leo jiwe yuko wapi?
Njia mojawapo wanayotumia ni kuchochea vita vya wenyewe kwa wenyewe barani Africa na Latin America, ili wao (Ulaya) wavune watu wengi wenye asili ya Melanin kutoka africa ya weusi, ili zaidi, wakafanyane na vizazi vyao!
hence, wazae watu machotara! but in concealed manner! wachache tunajua hili! maana wazungu wenzetu wale vizazi vyao vinaishia ivo! licha ya kula sana, bata zao izo!
sasa wanatuvuna vijana weusi chini ya mwamvuli wa usamaria wema wa kupokea wakimbizi wakti wao wenyewe ndo wanazalisha hao wakimbizi, mwishowe kule ulaya, ndo kutakuwa Africa unadhani Africa ingekuwa na amani tu, nani angekimbilia Ulaya?
Royal blood grail za Ulaya ni matisho tu! dhidi ya tabaka tawaliwa na umma wa Mwafrica, ukienda mbele zaidi watakwambia wao Wako, super DNA connected na Mafaraoh! wa Misri, eti walianza kutawala Dunia kabla ya Yesu!
Kumbuka tu kuwa Nefilim walikuwepo kabla na baada ya GHArika utawajuaje sasa..... kazi ipo.....
HaahHalafu uliyoysandika hapo hayana ukweli wowote 😁😂😂😂😂😂
Hao miungu 24 nao walitoka wapi mjomba.Hakuna kitu kinaitwa yehova au jehova ni kunda la miungu 24 ambao 12 ni wa haki na 12 ni wa batili. Wote wanaongoza na ndio wakuu wa hii matrix
Ety utafunguka macho...uko sio kuona nuru bali kuingia gizan
Andromeda yupo kwenye muvie ya clash of the titansAndromeda si ni galaxy? Au astronomy yangu inanidanganya?