Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,360
- 11,585
KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.Kama unaipata na uhakika wa support, fiber ni bora kuliko 5G, TTCL fiber kwa 55K unapata 20mbps ambayo ni speed nzuri,
Issue ya TTCL ni kuipata hadi kuja kukufungia kwako, ama umeshafungiwa then lipite gari la takataka likate waya huko support yao ni mbovu.
Nchi hii ni kama ina laana vile. 🤣😂KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.
Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee
Kwa siku 28
Bongo tunafeli wapi?
View attachment 2994831
Mkuu hata sisi tutafika hapa kadri watu watakavyo adapt 5G, faida ya 5G over technology nyengine za wireless ni capacity, ndio maana unaona hata hapa Tz 5G zimezinduliwa na unlimited moja kwa moja.KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.
Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee
Kwa siku 28
Bongo tunafeli wapi?
View attachment 2994831
Mhhh sidhani kama kweli mkuu, nchi za wenye akili hazina watu wengi, mfano Netherlands hawazidi m10 Norway hawafiki m5 Belgium hawazidi m11 sasa hapa kwetu hii si Dar pekeyake..kuna tatizo mahali..system yetu haina mpango wa kufanya maisha yawe nafuu kwa watu wake ni mwendo wa kukomoana tu...think kuhusu Mwigulu nchebe ukituma pesa kwenye simu unakatwa anaepokea anakatwa ukiangalia salio online banking unakatwa mtu akija na bank card toka nnje anakatwa wewe umeona wapi huu utaratibu wa kipuuzi. Eti ndio anafukuzia uraisi huyu pia.Mkuu hata sisi tutafika hapa kadri watu watakavyo adapt 5G, faida ya 5G over technology nyengine za wireless ni capacity, ndio maana unaona hata hapa Tz 5G zimezinduliwa na unlimited moja kwa moja.
Gharama za mwanzo kwa mitandao ya simu ni Fixed, ila sababu capacity ni kubwa kadri mnavyoongezeka ndio gharama zinashuka kwa mtu, India wapo wengi sana ndio maana wameweza kupunguza hizo gharama.
Usichanganye fiber na 5G mkuu, nchi hizo unazozitaja mobile data kama 5G ni ghali sana ila wana Fiber network nzuri. Fiber ni rahisi kusambaza eneo dogo ila nchi kubwa kama yetu ngumu, ila mobile network kama 5G it's possible ku cover maeneo mengi.Mhhh sidhani kama kweli mkuu, nchi za wenye akili hazina watu wengi, mfano Netherlands hawazidi m10 Norway hawafiki m5 Belgium hawazidi m11 sasa hapa kwetu hii si Dar pekeyake..kuna tatizo mahali..system yetu haina mpango wa kufanya maisha yawe nafuu kwa watu wake ni mwendo wa kukomoana tu...think kuhusu Mwigulu nchebe ukituma pesa kwenye simu unakatwa anaepokea anakatwa ukiangalia salio online banking unakatwa mtu akija na bank card toka nnje anakatwa wewe umeona wapi huu utaratibu wa kipuuzi. Eti ndio anafukuzia uraisi huyu pia.
Mkuu sina imani kwamba kuna siku gharama ya Vifurushi itawai shuka tanzania, Imagine TTCL nguzo iko nyuma ya nyumba na hata ulie hawawezi kufungia ADSL.Usichanganye fiber na 5G mkuu, nchi hizo unazozitaja mobile data kama 5G ni ghali sana ila wana Fiber network nzuri. Fiber ni rahisi kusambaza eneo dogo ila nchi kubwa kama yetu ngumu, ila mobile network kama 5G it's possible ku cover maeneo mengi.
India ndio hao 6,000-9000 unapata unlimited, Indonesia Around $6 unapata Unlimited, Ufilipino na nchi nyingi za Asia zenye watu wengi 5G unlimited ni bei rahisi.
Jinsi tutakavyoongezeka kwenye 5G ndio jinsi bei itakavyoshuka, miundombinu tayari ipo na mkonga upo under utilised, mfano Airtel backbone yao ya 5G ni 180 terabytes per second, hapo inahitaji watu kama milioni 18 kwa speed ya 10mbps kujaza hio capacity, wanachaji 70,000 kwa capacity ya sasa ila watu wakiongezeka gharama ya backbone ni ile ile na wao watashusha bei.
Hii ikifika Tanzania Porno itmaliza nguvu kazi ya Taifa hususani hawa wanaosukumwa na msukumo rika, ila ndo hivo kila kitu kina faida na hasara.KaKa huku nchi za watu internet ni kama maji ya kunywa. Natumia kifurushi cha makadiri ya 9k per month.
Simu ni unlimired
100sms per day
2gb of data per day
Nikiwq sehemu yenye 5g natumia unlimited bureee
Kwa siku 28
Bongo tunafeli wapi?
View attachment 2994831
Alianza Vodacom 115,000 kwa 20mbps, akaja 120,000 kwa 30mbps, Airtel akashusha hadi 110,000 30mbps na akatoa 70,000 kwa 10mbps, Tigo nao wakajibu 70,000 10mbps. Tetesi Halotel naye anakuja na 5G soon na wao wanakuja Kuvunja bei.Mkuu sina imani kwamba kuna siku gharama ya Vifurushi itawai shuka tanzania, Imagine TTCL nguzo iko nyuma ya nyumba na hata ulie hawawezi kufungia ADSL.
labda ngoja tuone muda utasema tu.Alianza Vodacom 115,000 kwa 20mbps, akaja 120,000 kwa 30mbps, Airtel akashusha hadi 110,000 30mbps na akatoa 70,000 kwa 10mbps, Tigo nao wakajibu 70,000 10mbps. Tetesi Halotel naye anakuja na 5G soon na wao wanakuja Kuvunja bei.
Hapo kwenye kilengele cha kufungiwa huduma kutoka TTCL hapo😂😂😂🙌🙌🙌aanhaa. Nmeshahangaika nao wee ila waapii bhana. Wanaudhi kwelikweli,sijui watu uwa wanajisikiaje kuwa maofisini na hawafanyi kazi inayowafanya kuwa hapo ofisini.Kama unaipata na uhakika wa support, fiber ni bora kuliko 5G, TTCL fiber kwa 55K unapata 20mbps ambayo ni speed nzuri,
Issue ya TTCL ni kuipata hadi kuja kukufungia kwako, ama umeshafungiwa then lipite gari la takataka likate waya huko support yao ni mbovu.
Ok kaka. Nimejifunza kitu.Mkuu hata sisi tutafika hapa kadri watu watakavyo adapt 5G, faida ya 5G over technology nyengine za wireless ni capacity, ndio maana unaona hata hapa Tz 5G zimezinduliwa na unlimited moja kwa moja.
Gharama za mwanzo kwa mitandao ya simu ni Fixed, ila sababu capacity ni kubwa kadri mnavyoongezeka ndio gharama zinashuka kwa mtu, India wapo wengi sana ndio maana wameweza kupunguza hizo gharama.
Changamoto ni kua hii nchi hizi network coverage zinadelay sana kufika mikoani , wilaya nilipo mpka sasa kuna mitandao miwili haina hata 4g , means wanufaika wanabaki wachache na bei ina delay kushuka ,Nini sababu ya kuifanya 4G,au5G kuzinduliwa au majiji mawili na baadae kuchukua zaidi ya mwaka au miaka kushindwa kufikia nchi nzima.Alianza Vodacom 115,000 kwa 20mbps, akaja 120,000 kwa 30mbps, Airtel akashusha hadi 110,000 30mbps na akatoa 70,000 kwa 10mbps, Tigo nao wakajibu 70,000 10mbps. Tetesi Halotel naye anakuja na 5G soon na wao wanakuja Kuvunja bei.
Kwani inafungwaje mkuu? Inafungwa kama nyaya za simu ya upepo?Kama unaipata na uhakika wa support, fiber ni bora kuliko 5G, TTCL fiber kwa 55K unapata 20mbps ambayo ni speed nzuri,
Issue ya TTCL ni kuipata hadi kuja kukufungia kwako, ama umeshafungiwa then lipite gari la takataka likate waya huko support yao ni mbovu.
Ila hao halotel huduma zao mbovu sana mkuu. Sitaki hata kuwasikia.Alianza Vodacom 115,000 kwa 20mbps, akaja 120,000 kwa 30mbps, Airtel akashusha hadi 110,000 30mbps na akatoa 70,000 kwa 10mbps, Tigo nao wakajibu 70,000 10mbps. Tetesi Halotel naye anakuja na 5G soon na wao wanakuja Kuvunja bei.
Bongo hata kama tutakuwa bilioni 1, bei haitashuka kirahis, shida ni system, serikali yetu ni tatizo kubwa, hawataki kabisa maisha yawe nafuu, wao ni sehemu ya kujinufaisha, akitokea mtu akauza gb moja kwa 200 serikali itaweka kodi ya 1000.Mkuu hata sisi tutafika hapa kadri watu watakavyo adapt 5G, faida ya 5G over technology nyengine za wireless ni capacity, ndio maana unaona hata hapa Tz 5G zimezinduliwa na unlimited moja kwa moja.
Gharama za mwanzo kwa mitandao ya simu ni Fixed, ila sababu capacity ni kubwa kadri mnavyoongezeka ndio gharama zinashuka kwa mtu, India wapo wengi sana ndio maana wameweza kupunguza hizo gharama.