Rouhani:US watapatwa na Majuto ya Kihistoria

Rouhani:US watapatwa na Majuto ya Kihistoria

Hawa jamaa kwa mipasho ya khanga wameshindikana. Ni kuwaacha tu kama walivyo na mipasho yao waendelee kujitia faraja ya muda ila muda ukifika cha moto watakiona; sio Rouhani wala Ayatollah wala yule Spika maneno meeengi wala yule Mkuu wao wa Jeshi brigedia nani sijui wala sijui nani watajulikana waliko. Vumbi likianza watakimbilia kwenye mahandaki hawa lakini haitasaidia. Waendelee kucheza na moto!
 
Rouhani :U.S watapata Majuoto ya Kihistoria


Kiongozi wa Iran Hassan Rouhani Amesema Marekani watajuta endapo wataamua kuutupilia mbali mkataba wa Nyuklia wa mwaka 2015 amesema wako tayari kukabiliana na Hatua zozote zitakazochukuliwa na U.S
waoga sana. Wananchi hawawapendi kabisa. Wanabana kila kona. Wameshindwa kudeliver hata walipoondolewa vikwazo vya uchumi. Wairani wanataka kuwa huru
 
Back
Top Bottom