Rostam Aziz kuhusu Lowassa

FbUser

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
439
Reaction score
644
“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.

Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”

Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024
 
Ndio kawaida
 
Hata hivyo lowassa amenyooka Hana mbambambaa....mtu wa kazi
 
Reactions: Ame
Ndege wanaofanana huruka pamoja!
Nimekumbuka ile 2007 List of Shame iliyotajwa pale Mwembeyanga Temeke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…