Mwimbaji wa nyimbo za njili Rosa Muhando ametangaza rasmi amehamishia makao yake ya kuishi na biashara kwenda Nairobi Kenya..
Je hii inaweza kuwa kwa TRA kuanza kuwatoa kodi kubwa wasanii ? Majuzi kulikuwa na tetesi msanii Diamond alitakiwa alipe milioni 400 kama kodi na TRA.