Tetesi: Rose Mayemba amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Aug 3, 2012
602
2,505
Kuna taarifa kuwa Kamanda Rose Mayemba amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe, taarifa za awali wanasema ni Uchochezi wa Maandamano!!

Yupo mikononi mwa Polisi muda huu na wanapanga kwenda kumfanyia upekuzi Nyumbani kwake

Mlioko Njombe tafadhari fuatilieni jambo hili.
Edwin Enosy Swalle Advocate

FB_IMG_1524498826704.jpg
 
Back
Top Bottom