Goliath mfalamagoha
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 602
- 2,505
Kuna taarifa kuwa Kamanda Rose Mayemba amekamatwa na Polisi Mkoani Njombe, taarifa za awali wanasema ni Uchochezi wa Maandamano!!
Yupo mikononi mwa Polisi muda huu na wanapanga kwenda kumfanyia upekuzi Nyumbani kwake
Mlioko Njombe tafadhari fuatilieni jambo hili.
Edwin Enosy Swalle Advocate
Yupo mikononi mwa Polisi muda huu na wanapanga kwenda kumfanyia upekuzi Nyumbani kwake
Mlioko Njombe tafadhari fuatilieni jambo hili.
Edwin Enosy Swalle Advocate