rmvicentrm
Senior Member
- Jan 8, 2016
- 147
- 26
Nimeroot sim yangu c5 Tecno. Nimetoa baadhi ya apps. Tatizo browsers zote hazifanyi kazi.
Naombeni msaada wenu wakuu.
Naombeni msaada wenu wakuu.
BrowsersNimeroot sim yangu c5
Tecno nimetoa baadhi ya appa tatizo growers zote hazifanyi kazi
NOAMBENI MSAADA WENU WAKUU
hii hapa screenshort natumainafail ndio nn? weka screenshot **** kuelezea ni ngumu
napata shida kuatach screen shot lakini sim haifungui play store na browers zingineinafail ndio nn? weka screenshot **** kuelezea ni ngumu
hapana namuda natumia ... nimeroot na nikafuta baadhi ya appsyaani hapo cm ni kama umeinunua dukani, hebu jaribu kuangalia setting za internet
setting unavyotumia ziko sawahapana namuda natumia ... nimeroot na nikafuta baadhi ya apps
kama hii program haipo nidownload kwanza sababu ni muhimu sana![]()
Hapo nionavyo Mimi remove hiyo root nauifactor reset upya itakuwa kama ulivyoinunua dukani na itapiga kazi kama kawaida vipi ulitumia App gani kuroot simu yako?hiyo ndiyo mistake nimefanya sema play store haifanyi kazi na kwa ufupi siwezi download chochote mbadala nafanyaje
samahani.... nimeangalia kwenye app hiyo ipo mkuu sa si tatizo ni nnhiyo ndiyo mistake nimefanya sema play store haifanyi kazi na kwa ufupi siwezi download chochote mbadala nafanyaje
king root.... nilivo ona inasumbua nilirestore factory setup lakin tatizo halikutokaHapo nionavyo Mimi remove hiyo root nauifactor reset upya itakuwa kama ulivyoinunua dukani na itapiga kazi kama kawaida vipi ulitumia App gani kuroot simu yako?