elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
guys mm nime root simu yangu na nimeweza kuiwezesha simu yangu inayotumia android kuweza ku install applications kwenye memocard after kufanya partion kwenye memo card.
nlikuwa napata shida sana ya phone memory after downloading games sa nimesolve tatzo.
lakini naskia kuna mengi unaweza faidi uki root simu yako lakini mimi si mtaalam sana wa mambo haya bt nawe waweza jaribu kuifanyia simu yako
nlikuwa napata shida sana ya phone memory after downloading games sa nimesolve tatzo.
lakini naskia kuna mengi unaweza faidi uki root simu yako lakini mimi si mtaalam sana wa mambo haya bt nawe waweza jaribu kuifanyia simu yako