Ronaldo: Barca inabebwa

SIPENDI SOKA LA TIMU KUBEBWA NDANI YA PITCH.
Mfano wake ni Barca.
 
kwa uelewa wangu mimi.....!

huyo messi huyo pamoja na kwamba yupo kwenye kiwango chake cha juu sana...na pamoja na kuibeba barsa MABEGANI na kuwapa raha wakatalunya.....!MESSI HAJAFIKIA KABISA KIWANGO CHA JUU CHA GAUCHO....!messi hajafikia kiwango cha juu cha ufungaji kama cha etoo wakati yupo hapo CATALANS...!


barsa ya sasa hivi inabebwa
 
kwa uelewa wangu mimi.....!

huyo messi huyo pamoja na kwamba yupo kwenye kiwango chake cha juu sana...na pamoja na kuibeba barsa MABEGANI na kuwapa raha wakatalunya.....!MESSI HAJAFIKIA KABISA KIWANGO CHA JUU CHA GAUCHO....!messi hajafikia kiwango cha juu cha ufungaji kama cha etoo wakati yupo hapo CATALANS...!


barsa ya sasa hivi inabebwa

Kula tano mkuu.
 
kwa uelewa wangu mimi.....!

Huyo messi huyo pamoja na kwamba yupo kwenye kiwango chake cha juu sana...na pamoja na kuibeba barsa mabegani na kuwapa raha wakatalunya.....!messi hajafikia kabisa kiwango cha juu cha gaucho....!messi hajafikia kiwango cha juu cha ufungaji kama cha etoo wakati yupo hapo catalans...!


Barsa ya sasa hivi inabebwa

umenikuna,
 
kwa uelewa wangu mimi.....!

huyo messi huyo pamoja na kwamba yupo kwenye kiwango chake cha juu sana...na pamoja na kuibeba barsa MABEGANI na kuwapa raha wakatalunya.....!MESSI HAJAFIKIA KABISA KIWANGO CHA JUU CHA GAUCHO....!messi hajafikia kiwango cha juu cha ufungaji kama cha etoo wakati yupo hapo CATALANS...!


Hapo red, naamini umetumia dhana ya upenzi zaidi na uafrika lakini si kwa kufuata statistics za uhalisia.

Kwa faida yako, fungua hizi link mbili zitakuonyesha statistics za hao watu wawili.

Samuel Eto'o - Wikipedia, the free encyclopedia


Lionel Messi - Wikipedia, the free encyclopedia

In summary, msimu ambao Etoo alifunga magoli mengi zaidi ni 2008/2009 ambapo katika michuano yote na Barca alifunga magoli 36 katika mechi 52 wakati Messi msimu huo huo wa 2008/09 alifunga magoli 38 katika mechi 51. Msimu ambao Messi amefunga magoli mengi zaidi ni msimu huu ambao mpaka sasa ashafunga magoli 52 katika mechi 52 na msimu bado haujaisha.
 
kwa uelewa wangu mimi.....!

huyo messi huyo pamoja na kwamba yupo kwenye kiwango chake cha juu sana...na pamoja na kuibeba barsa MABEGANI na kuwapa raha wakatalunya.....!MESSI HAJAFIKIA KABISA KIWANGO CHA JUU CHA GAUCHO....!messi hajafikia kiwango cha juu cha ufungaji kama cha etoo wakati yupo hapo CATALANS...!


barsa ya sasa hivi inabebwa

Messi ana miaka 23 sasa, wakati Ronnie akiwa umri huo alikuwaje? Fuatilia ili ujiridhishe.

CR 7 amechanganyikiwa sababu katika Head to Head na Messi bado yupo chini.

Eto'o ni mshambuliaji mahili na hata Barca wamemuweka katika list ya wa wakali kuwahi kutokea pale na hilo ni doa kwa Pep, lakini katika record ya kufunga Messi yupo juu ya Eto'o.

Kwa washabiki wa Jose mtasema yote kuhusu kubebwa kwa vile Jose ana Nguvu ya kusikilizwa kuliko Arsene(Wenger) na ndo maana kelele za Jose zimepata waungaji mkono wengi.
 
Hehehehe...haya bana..

Ukiangalia sana wanaochonga sana Real Madrid ni wareno Maurinho na C Ronaldo. Wanachonga sana hawa....Ingekuwa soka ni kuchonga, Ureno ingetawala soka la Dunia.
Halafu huyu CR alizoea kubebwa alipokuwa Man U, Spain ma-star ni wengi hawezi pata upendeleo aliokuwa anapata England nadhani inamuuma.
 
Ronaldo Rudi England MU ufurahie ladha ya kubebwa bebwa.

Anasahu alivyokuwa anajidondosha dondosha. Amekutana na wasanii zadi yake ndo anagundua u

Barcelona Soka wako juu na wakiamua usanii kama wa kukutafuta kad wachezaji pinzani wanaweza.
Sasa ukijumlisha hayo mawili
 
Wenger si ndio wale wale?....

Soka bana, chama linapokuwa na vifaa vikali watu wanaposhindwa kustahilimi mkikimkiki, solution inayobakia ni kucheza rafu. Na ndicho walichokifanya Real. rafu za kijinga.

Kutoshinda Nou Canp ni sehemu ya soka, kama ambavyo Real walivyoshinda kombe mbuzi la mfalme. Na kama ni kubebwa pale ndipo Barca ilikuwa ibebwe zaidi. Kwakuwa Barca hawakushinda hakuna aliyechonga. Angeshinda ungesikia ya kusikia.

Ukweli ni kuwa Barca ni Timu bora zaidi duniani kwa sasa. Na Timu bora ndiyo huwa inashinda. (kama ambavyo Liverpool inashinda hivi sasa....Timu bora kabisa).
Dah mkuu hapo mwisho kwenye bracket... Mbona kule kwenye sredi letu haupatikani kabisa mkuu?!
 
wamezidi mno kujiangusha
Yaani Man U ikifungwa Wimbley hiyo tarehe 28, naona mtaendeleza huu mjadala kua Barca kabebwa. Ila mkishinda nyie sawa tu itakua Fair play. Tuache utani wale watoto wanavyocheza bila kuwachezea rafu huwezi kuwakaba hata kidogo. Kumkaba Messi bila kumkwatua ujue itakua imekula kwako.!
 
Katika fikra zenu potofu nakutojua kujua zuri na baya ndio maana mnasema barca inabebwa! unajua watanzania wengi atuendelei kutokana 2nauficha ukwel. Barca is the world classic club hakuna club yeyote inayoipiku nafasi hiyo achen chuki na mjungu yasio faa ongen ukwel wa soka sio majungu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom