Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Hehehehe...haya bana..
Ukiangalia sana wanaochonga sana Real Madrid ni wareno Maurinho na C Ronaldo. Wanachonga sana hawa....Ingekuwa soka ni kuchonga, Ureno ingetawala soka la Dunia.
hawachongi mkuu....
the fact ni kwamba haki haitendeki kabisa wakati wa EL CLASSICO...!haki ikifuatwa real madrid lazima ashinde
hata ile mechi ya bernabeu mpango wa ''the special one'' ulikuwa ni kumuingiza kaka dakika ya 70 akafunge goli la counter-attack (he was born to do that)....!lakini kama ulivyoona dakika za 60 marefa wakaamuliwa kumuondoa PEPE...!na ukiangalia sana PEPE ndie beki pekee aliyemsimamisha messi...!na alivyotolewa kwa amri ya U.E.F.A uliona kilichojiri
HAKI HAIKUTENDEKA MKUU
maurinho na cristiano wana point