Rombo: Viongozi wa Kanisa Katoliki kufunga siku 9 kuomba Mungu aponye jamii na ulevi

Pombe haijakatazwa, kilichokatazwa ni ULEVI ambao ni zao la kunywa kupita kiasi, kama ilivyo kwenye kula, ukila kupita kiasi (ulafi) ni dhambi vile vile. Kwani umeambiwa wanaokunywa pombe huko rombo ni wakatoliki pekee?
C ndo hapo sasa maana mpka madhehebu mengine yanakunywa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waombe kupinga ulevi, wakati kanisa lao linaruhusu kunywa pombe

Pumbaff

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hii chuki yako juu ya wakatoliki ina mavuno yake

Kristu ndiye Tumaini letu
 
Mpeleke Ali Heppy awe mkuu wa wilaya ya Rombo. Atakomesha unuwaji pombe usio na mpango ili hawa ma padre wafunge na kuwaombea mapdre wa kizungu huko majuu wasiharibu watoto wa kiume kwa kuwaingilia kinyume ma maadili
 
Ati nini!bado cjakusoma hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huo ndio unaitwa unafiki. Kanisa linafundisha na kuruhusu watu kunywa pombe halafu leo linawaombea.
Shenzi zao
Habakuki. 25:15
Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!

Hoja hapa ni ulevi nyie mang'aa....!
Leteni hayo mafundisho yanayosema watu wanywe pombe haramu walewe....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pombe haina dini ni mapenzi ya mtu. Rombo zaman ilikuepo mbege nzuri sana hakukua na ulevi. Baada ya watu kuanza kupika Busaa au Dadiii ulevi ukaanza taratibu
Badae serikali ikaruhusu viwanda kama kimorali nk ulevi ukaenea zaidi
Kwa sasa nguvu kazi hakuna tena rombo hata nguvu za kuzaa hawana.
Mapadre wamechoka wakaamua kufuatilia chanzo cha ulevi nk
Sijaona sehemu imeandikwa ati kanisa katoliki linaruhusu pombe na wala hakuna maandiko yanayokataza kunywa mvinyo au pombe biblia inakataza ulevi haikatazi kunywa. Kuna kunywa na kulewa. Acheni kupotosha. Hao hao mnaotuaminisha biblia inakataza ulevi jaribuni kuuliza wanaoishi ulaya au marekana. Hao mnaowaona wasabato au walokole wanakunywa wine sana before na after meals. Huku africa jidanganyeni tu ati maandiko yanakataza pombe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kuhusu dini hiyo kuruhusu ulevi ila hili jambo la kuomba kwa mungu kupitia swaumu ni jema Sana tena kumuomba kuondoa uovu naomba mungu awakubalie
 
Aiseee,ma hom boy mmejakuaje?
 
Kwanza ifahamike 80% ya Vijana wa Wilaya ya Rombo wanaishi mijini na tuna kazi zetu, tuna biashara zetu, tuna miradi yetu na tuna mchango mkubwa Kwa Taifa letu. Kule nyumbani tumeweka Vijana wachache wa kupalilia ile migomba na kutunza mashamba yetu maana ndiko tumezaliwa. Vijana walioajiriwa kufanya kazi hizo wametoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi hii.

Hivyo kusema Vijana wengi wa Rombo hatuoi kwasababu ya pombe huo ni udhalilishaji kwasababu kwanza kuoa ni uamuzi binafsi wa Mtu, lakini pili si kweli Vijana wote wa Rombo ni walevi na si kweli kwamba Vijana wengi wa Rombo hawajaoa. Wapo maprofesa hawajaoa, wengine ni walevi na wengine siyo walevi.

Ni mara ya pili hawa viongozi wetu wa kiroho kutudhalilisha Vijana wa Rombo kwenye média. Wakitaka waoe wao. Kama tatizo ni sadaka haitolewi ya kutosha, wabuni miradi kama wale wa zamani walikuwa na mashamba makubwa ya parókia, ufugaji wa Mifugo yote, biashara n. K. Watusubirie tu kipindi cha mwisho wa mwaka ndo tunakuja kuhesabiwa ndo unatoa sadaka huko ila tukiwa huku tunatoa huku huku. Na hao wachache ambao ni walevi (na ikumbukwe walevi hawapo tu Rombo hata ulaya wapo) awape elimu juu ya madhara ya ulevi wa kupindukia ili waokoe nafsi zao lakini kuwaandika kwenye magazeti, mlevi wa dadii anasoma gazeti saa ngapi?

In konki voice.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo litakuwa ni gazeti la ccm au vibaraka wake
In God we trust
 
Hadi uwache ukibaraka wako kwa ccm ndiyo tutakuelewa mjinga wewe
In God we trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…