Kama linaruhus ushaonaga mtu anaingia kanisan na pombe?Waombe kupinga ulevi, wakati kanisa lao linaruhusu kunywa pombe
Pumbaff
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
C ndo hapo sasa maana mpka madhehebu mengine yanakunywaPombe haijakatazwa, kilichokatazwa ni ULEVI ambao ni zao la kunywa kupita kiasi, kama ilivyo kwenye kula, ukila kupita kiasi (ulafi) ni dhambi vile vile. Kwani umeambiwa wanaokunywa pombe huko rombo ni wakatoliki pekee?
Hii chuki yako juu ya wakatoliki ina mavuno yakeWaombe kupinga ulevi, wakati kanisa lao linaruhusu kunywa pombe
Pumbaff
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Ati nini!bado cjakusoma hapoRombo kwa zaidi ya asilimia 90 ni wakatoliki.
Iweje sasa wakatoliki wamwombe Mungu kuwaepusha na asili yao?
Ili parokia ikamilike ni lazima wawe na duka la vilevi. Kuna bar moja huko Moshi eneo la mji mdogo Himo, ina bar inayoitwa Kilacha. Hii bar ni maarufu kwa mapadre na masista kupombeka. Tena inamilikiwa na kanisa.
Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake ati...........!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rombo kwa zaidi ya asilimia 90 ni wakatoliki.
Iweje sasa wakatoliki wamwombe Mungu kuwaepusha na asili yao?
Ili parokia ikamilike ni lazima wawe na duka la vilevi. Kuna bar moja huko Moshi eneo la mji mdogo Himo, ina bar inayoitwa Kilacha. Hii bar ni maarufu kwa mapadre na masista kupombeka. Tena inamilikiwa na kanisa.
Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake ati...........!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio unaitwa unafiki. Kanisa linafundisha na kuruhusu watu kunywa pombe halafu leo linawaombea.
Shenzi zao
Habakuki. 25:15
Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!
Msabato anamkosoa mkatoliki kwa tusi then anajiona Msafi!Waombe kupinga ulevi, wakati kanisa lao linaruhusu kunywa pombe
Pumbaff
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Aiseee,ma hom boy mmejakuaje?Viongozi wa Kanisa Katoliki wilayani Rombo wameanza kufunga kwa siku tisa kumuomba Mungu aiepushe jamii wilayani humo na tabia ya ulevi uliopindukia hususan kwa vijana.
Kwa mujibu wa viongozi hao, vijana wengi wanashindwa kuoa kutokana na ulevi.
Mkuu wa Vikarieti ya Rombo na paroko wa Usseri, Padri Emmanuel Lyimo alisema wameamua kufunga ili kukisaidia kizazi hicho kiweze kupenda kazi kuliko unywaji pombe.
Alisema Tanzania inapoteza vijana wanaotegemewa kushiriki katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa uchumi wa Taifa.
Paroko huyo alisema kukithiri kwa unywaji wa pombe haramu katika wilaya hiyo kunatokana na vijana wengi kutokuwa na kazi za kufanya, badala yake wanaishia kwenye vilabu vya pombe na hatimaye kushiriki katika matukio mbalimbali ya uhalifu.
Kiongozi huyo wa dini aliiomba Serikali kuanzisha vikundi vya ujasiriamali ili kupunguza uzururaji wa vijana pamoja na vitendo vya uhalifu ikiwemo mauaji.
“Ni lini Serikali itakomesha unywaji wa pombe haramu pamoja na mauaji yasiyo na hatia Rombo?” alihoji paroko huyo.
“Serikali endapo itaanzisha vikundi vya ujasiriamali, haya matukio ambayo yanaendelea kwa sasa hayatakuwepo, kanisa tupo tayari kupitia jumuiya ndogo ndogo kuwakusanya vijana ili iwe rahisi kuwafikia walengwa.”
Alisema, “yapo makundi mbalimbali ya vijana yameibuka katika wilaya hii, wanavunja na kuchoma nyumba za watu, kupora pamoja na kuua. Hii hali kiukweli inasikitisha.”
Padri Lyimo alisema kutokana na hali hiyo waumini wa kanisa hilo wameamua kufunga na kuomba ili Mungu ainusuru jamii na matukio ya kihalifu yanayotokea.
Kiongozi wa jumuiya ya kanisa hilo, Athanas Joseph alisema wameamua kufunga baada ya kuchoshwa na matukio ya kihalifu yanayosukumwa na ulevi kupindukia miongoni mwa vijana.
“Sasa hivi hakuna vijana wanaooa, wengi wameishia kunywa pombe haramu, vijana wengi unakuta wanakunywa pombe aina ya gongo na mbundimbundi ambazo zinawamaliza nguvu kabisa,” alisema.
“Hapa kuoa hawawezi kabisa na mwisho wake baada ya muda kijana wa miaka 20 utafikiri ni mzee wa miaka 60.”
Aliitaka Serikali kuangalia namna ya kuwanusuru vijana wilayani humo kwa sababu wanaangamia.
“Kizazi kijacho hatutakuwa na vijana imara katika wilaya hii, tunaomba Serikali itusaidie kuwapatia vijana hawa mtaji angalau wajiingize katika shughuli mbalimbali za ujasiriamali,” alisema Joseph.
Kwa mujibu wa wakazi wa wilaya hiyo, kuna zaidi ya aina 52 za pombe za kienyeji zinazonywewa wilayani humo.
Mmoja wa wakazi hao, Alfred Martin aliliambia Mwananchi kuwa kutokana na wingi wa pombe hizo na jamii kutokuwa na mbinu madhubuti za kudhibiti unywaji kupita kiasi, inakuwa rahisi kwa vijana kujiingiza katika tabia hiyo.
“Labda tu itokee kwamba kuna mkakati maalumu, lakini vinginevyo iwe ni maombi na ibada ili Mungu atusaidie,” alisema.
Kwanza ifahamike 80% ya Vijana wa Wilaya ya Rombo wanaishi mijini na tuna kazi zetu, tuna biashara zetu, tuna miradi yetu na tuna mchango mkubwa Kwa Taifa letu. Kule nyumbani tumeweka Vijana wachache wa kupalilia ile migomba na kutunza mashamba yetu maana ndiko tumezaliwa. Vijana walioajiriwa kufanya kazi hizo wametoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi hii.
Hivyo kusema Vijana wengi wa Rombo hatuoi kwasababu ya pombe huo ni udhalilishaji kwasababu kwanza kuoa ni uamuzi binafsi wa Mtu, lakini pili si kweli Vijana wote wa Rombo ni walevi na si kweli kwamba Vijana wengi wa Rombo hawajaoa. Wapo maprofesa hawajaoa, wengine ni walevi na wengine siyo walevi.
Ni mara ya pili hawa viongozi wetu wa kiroho kutudhalilisha Vijana wa Rombo kwenye média. Wakitaka waoe wao. Kama tatizo ni sadaka haitolewi ya kutosha, wabuni miradi kama wale wa zamani walikuwa na mashamba makubwa ya parókia, ufugaji wa Mifugo yote, biashara n. K. Watusubirie tu kipindi cha mwisho wa mwaka ndo tunakuja kuhesabiwa ndo unatoa sadaka huko ila tukiwa huku tunatoa huku huku. Na hao wachache ambao ni walevi (na ikumbukwe walevi hawapo tu Rombo hata ulaya wapo) awape elimu juu ya madhara ya ulevi wa kupindukia ili waokoe nafsi zao lakini kuwaandika kwenye magazeti, mlevi wa dadii anasoma gazeti saa ngapi?
In konki voice. View attachment 1062370
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ifahamike 80% ya Vijana wa Wilaya ya Rombo wanaishi mijini na tuna kazi zetu, tuna biashara zetu, tuna miradi yetu na tuna mchango mkubwa Kwa Taifa letu. Kule nyumbani tumeweka Vijana wachache wa kupalilia ile migomba na kutunza mashamba yetu maana ndiko tumezaliwa. Vijana walioajiriwa kufanya kazi hizo wametoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi hii.
Hivyo kusema Vijana wengi wa Rombo hatuoi kwasababu ya pombe huo ni udhalilishaji kwasababu kwanza kuoa ni uamuzi binafsi wa Mtu, lakini pili si kweli Vijana wote wa Rombo ni walevi na si kweli kwamba Vijana wengi wa Rombo hawajaoa. Wapo maprofesa hawajaoa, wengine ni walevi na wengine siyo walevi.
Ni mara ya pili hawa viongozi wetu wa kiroho kutudhalilisha Vijana wa Rombo kwenye média. Wakitaka waoe wao. Kama tatizo ni sadaka haitolewi ya kutosha, wabuni miradi kama wale wa zamani walikuwa na mashamba makubwa ya parókia, ufugaji wa Mifugo yote, biashara n. K. Watusubirie tu kipindi cha mwisho wa mwaka ndo tunakuja kuhesabiwa ndo unatoa sadaka huko ila tukiwa huku tunatoa huku huku. Na hao wachache ambao ni walevi (na ikumbukwe walevi hawapo tu Rombo hata ulaya wapo) awape elimu juu ya madhara ya ulevi wa kupindukia ili waokoe nafsi zao lakini kuwaandika kwenye magazeti, mlevi wa dadii anasoma gazeti saa ngapi?
In konki voice. View attachment 1062370
Sent using Jamii Forums mobile app