Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,308
- 10,626
Yesu hawezi kufanya huo ujinga, wa kutengeneza pombe halafu aseme walevi hawaendi mbinguni!! Unaweza kuwa unafiki wa mwaka.Hivi unajua satisfaction ya kunywa pombe ni kulewa? Kwa hiyo hakuna tofauti kati ya kunywa pombe na kulewa. Msijidanganye. Na kumbuka pombe hupunguza uwezo wa kufikiriUle muujiza wa kwanza wa Yesu kwenye ile harusi ya Kana alibadilisha maji kuwa divai, au nyie wenzetu mnafikiri ile ilikuwa juice?