Roho inauma,ushauri tafadhali

Roho inauma,ushauri tafadhali

Wakuu, kwel leo nimechelewa kurud home,nafika tu mke wangu kavamia gari kavunja kioo cha mbele,je nimlipishe au nisamehe

Pole unanikumbusha mnyaturu wangu alikuwa na matope kama ya huyo mkeo nilimpa dozi ya nguvu na ujinga ukamtoka na akapigwa chini mpaka leo sipendi upuuzi kwenye uchumi hata kama umemkosea gari ina kosa gani? kwa mimi apigwe tu hakuna namna ila kwa wewe maamuzi unayo mwenyewe. TPX JIHADHALI TPX NAFUTIKA
 
Inaonyesha ni jinsi gani kakupanda kichwani au kakushika masikio. Yaan hutomfanya chochote hata akiharibu.

Kama una kosa alitakiwa akueleze hata kwa machozi kushow hisia zake na jinsi alivoumia.

1. Kama ni mkeo halali, rudisha kwao kimya kimya hadi atakapotengeneza gari na kujieleza kwa nini anahisi anauhuru wa kuharibu mali hovyo.
2. Kama ni mchumba piga chini
 
Ama kwa hakika wanaume tunazaidi kupoteza haiba za kiume.
Yaani kwa tukio kam hilo umeshindwa kujua nini maamuzi?
 
Ama kwa hakika wanaume tunazaidi kupoteza haiba za kiume.
Yaani kwa tukio kam hilo umeshindwa kujua nini maamuzi?

Well...
Chagua kati ya mke au gari, kipi cha thamani then ukipata jibu maisha yendelee
 
Waite traffic waje kupima kwanza.


ushaur mzuri huu mi ningejifanya chizi napeleka gari yangu central akakamatwe na defender kabisaa halafu kama sio mimi aitengeneze hyo gari hukohuko polise akitaka tuyaongee baadana matengenezo
 
  • Thanks
Reactions: waj
ni kwl nimechelewa kurud,ila nilimweleza kila k2,sasa huoni hasara na ye2 sote apo mkuu kwanin busara hakutumia
 
mkuu imebid nilale ka nyumba ka nje maana leo nahis na yeye angevunjika mahala kama ningelala nae
 
ni kwl nimechelewa kurud,ila nilimweleza kila k2,sasa huoni hasara na ye2 sote apo mkuu kwanin busara hakutumia

hebu andika vizuri kwanza.
amekosea angevunja meno yako ama jicho ungejua cha kufanya.
muda mwingine mna majibu ya ajabu sana.mke nae ana hasira za kizungu.
 
Wakuu, kwel leo nimechelewa kurud home,nafika tu mke wangu kavamia gari kavunja kioo cha mbele,je nimlipishe au nisamehe

Ukitaka tukusaidie kukupa ushaur sema kila kitu kwa usawa ,,,,,hawezi kuwa chizi akurupuke tu na kuvunja kiooo,,,,acha ubwege Wewe rudi home mapema,,,siku nyingine atakuvunja pumbu
 
mkuu ahsante kwa ushaur wako tukufu
 
Wakuu, kwel leo nimechelewa kurud home,nafika tu mke wangu kavamia gari kavunja kioo cha mbele,je nimlipishe au nisamehe

Katengeneze hicho kioo wewe mwenyewe then kaa kimya tu baada ya siku mbili au tatu mueleze pamoja na wewe kukosea ukachelewa alichofanya si sahihi.
 
Wanawake wenye wivu na hasira hizo noma sana. Hawakawii kujifanya anakupa felatio, akang'ata hiyo kitu. Mtafutie msaada wa kitabibu.
 
Hiyo ni kawaida kwa mwanamke mwenye wivu sana,huwa wana loose control wakikasirika.Mi nilishawahi kuvunjiwa htc yangu mpyaaa kwa staili hio hio.Nilichokifanya nilijikaza tu kiume nikanunua simu nyingine sikumpiga zaidi ya kumuuliza
"umeona ulichokifanya?" baada ya hasira zake kuisha.Hadi leo yupo ananiheshimu kwa msimamo wangu.We kanunue wind shield mpya tu kaka chukulia kama ajali hio.
 
Back
Top Bottom