Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,189
- 79,421
Kuna mtu anamaelezo kujua ile project imeishia wapi? ipo au imekufa? Asanteni maana tunachoka na kupeleka wagonjwa nje! gharama
Kuna mtu anamaelezo kujua ile project imeishia wapi? ipo au imekufa? Asanteni maana tunachoka na kupeleka wagonjwa nje! gharama
Ujenzi ulianza kwa kasi sana, lakini ghafula ujenzi ulisimama tangu mwaka jana hakuna mtu wala shughuli yoyote inayoendelea kwenye site.
Ipo kwani kulikuwa na ujenzi unaendelea Moshi karibu na kile kilichokuwa kiwanda cha Kilimanjaro Mashine Tools, last time nilipita pale nilikuta ujenzi unaendelea kwa kasi
Umeshau kutaja na ile NICOLMtu kama Mzee Mengi aliyechangia kwenye mambo lukuki-ujenzi wa mashule,walemavu,malaria,misikiti,upandaji miti na mengineyo mengi, ndiyo hawa heshimiwi na serikali lakini mafisadi nyangumi wanao kwapua kama awana akili se awa sawa,wana toa shilingi wanachukuwa shilingi mbili, ndio serikali inawaheshimu.
Asante Mzee Mengi kwa moyo mkunjufu!
Mzee shuwain yule akigombana na wafanyabiashara wenziwe anataka uwe ugomvi wa kitaifa..ila kiboko yake alikuwa Masilingi na ManjiHiyo project ilikuwa special kwa ITV. Big ego Mengi kujishaua kama Kawaida. Ni sawa na ahadi zake za michango ya mamilioni.... Huishia kwenye TV na walioahidiwa kutoambulia chochote. Alijifanya anapambana na ufisadi sasa yuko beneti na Lowassa pamoja na Rostam. Mengi hahitaji kujenga taasisi ya cancer, yeye ndiye kansa.
Hiyo project ilikuwa special kwa ITV. Big ego Mengi kujishaua kama Kawaida. Ni sawa na ahadi zake za michango ya mamilioni.... Huishia kwenye TV na walioahidiwa kutoambulia chochote. Alijifanya anapambana na ufisadi sasa yuko beneti na Lowassa pamoja na Rostam. Mengi hahitaji kujenga taasisi ya cancer, yeye ndiye kansa.
Hivi kwa miaka yote hiyo alikosa kibali?
Mzee Mengi ni mtu wa kuuza maneno tuu,vitendo hakuna!ujenzi ulianza nadhani akataka ufadhili wazungu wakashtuka