donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
Kama thread inavyojieleza wakuu, unahisi ni kampuni gani kati ya hizo mbili wanatengeneza games zenye graphics za hatari na za ukweli kumshinda mwenzake. As for me, kiukweli EA games nawakubali, ila tatizo lao kubwa mara nyingi wakitoa game mpya wanaconsider platforms nyingine kama PS3, Xbox360 etc. Na wala hawatujali PC gamers. Lakini nimechek Rockstar games mostly wakirelease chombo lazima tu utakikuta na kwenye PC, nawasilisha!