Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Kwamba kingeressaa kingi tukuelewe erooo....Shida ya Simba sc sio kocha bali ni mfumo mzima wa team kuanzia head up to toe
wachache watanielewa
Hiki Kiingereza kina shida, head kwenda kwenye vidole ni up au down?Shida ya Simba sc sio kocha bali ni mfumo mzima wa team kuanzia head up to toe
wachache watanielewa
Sababu kubwa ni hiiNdo maana vi uzi vyenu vya kuhusu Simba vina wachangiaji kumi au 20..maana tumeshawachoka kwa sasa tunawaangalia tuu... na wenye akili utopoloni pia wanawaangalia tuu...
Duuh ww mbaba sijui mkaka huchoki na hizo tano?Sababu kubwa ni hii
Brother nikisema up simaanishi juu ila nimemaanisha uelekeo nilipoanzia na nilipoishiaHiki Kiingereza kina shida, head kwenda kwenye vidole ni up au down?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mimi ni kibenten,labda msimu uishe ndio nitazichoka.Duuh ww mbaba sijui mkaka huchoki na hizo tano?
5imba guvu moyaaaaSimba Sc
Nguvu Moja.