acheni ujinga wa kushabikia watu wenye uchu wa madaraka huku wanaficha fedha za watanzania nje. Nilimuamini sana zzk lakini baada ya kuteuliwa kwenye kamati ya jk amekuwa mtu aliyepoteza mvuto kutokana na kuonjesha fedha za wezi wa nchi hii. Ukishika fedha chafu nawe unakuwa mchafu. Jk alijua kwamba zito atasumbua kizazi cha watoto wao kujimilikisha nchi hii, akamvuta karibu naye amejipakaa matope.
huyu si alishawahi kuongea kwamba cdm kuna udini na ukabila? Ukishakuwa karibu na jk lazima uwe wa stail ile tu. Majungu kwa kwenda mbele, hamna kingine.