Unajuwa Zimbabwe wana hali gani kwa sasa wewe? Kuna mambo anafanya ya kipuuzi huyu mzee akidhani anawakomoa wazungu. Hakuna mtu aliyemlazimisha aruhusu mapenzi ya jinsi moja nchini kwake ( japo wanafanya) kujifanya unawadindia wazunngu wakati hapo hapo unaomba wakufungulie uchumi maana wananchi wanapata tabu.huu mimi nauita ufa.la. Mugabe hanaga pointi ya maana ya kuongea zaidi ya kueneza chuki na ubaguzi dhidi ya watu weupe.
Afeica hatuendelei kwa sababu asilimia kubwa wana mawazo kama yako..