Robert Amsterdam & Partners LLP: Open Letter to the Tanzanian Police Force regarding attack against Tundu Lissu

Hehee mabeberu wanatisha. Usiombe! Guseni muone Drone itawaezua mchana kweupe.
Hopeless mmeshaiishiwa hoja sasa mnategemea mabeberu lakini hamtashinda! Wasaliti walikuwepo hata hapo mwanzo wakina Kambona lakini walipotea tu na Tanzania tunaendelea kama kawaida. Tumeishinda Corona watakuwa wasaliti?
 
Rubbish of highest level! Huyu amesajiliwa kufanyakazi TZ? OK kwani Lissu ni mgombea Urais anayefahamika na Tume? Kuna papala nyiiingi! akishapitishwa na kutambuliwa na tume ndo ajiite mgombea urais!

Ona puuzi jingine hili...kwani kama hafahamiki na Tume hao waliomkabidhi fomu Dodoma ni mizimu?

Uchawi kweli huondoa akili.
 
Hopeless mmeshaiishiwa hoja sasa mnategemea mabeberu lakini hamtashinda! Wasaliti walikuwepo hata hapo mwanzo wakina Kambona lakini walipotea tu na Tanzania tunaendelea kama kawaida. Tumeishinda Corona watakuwa wasaliti?

Kwa hiyo mnaplan tena ya kurusha risasi zingine??
 
Nawe pia ni think ya CHADEMA ?
Ujinga mtupu, Lissu bado hajawa mgombea rasmi hadi NEC wamthibitishe, hata fomu ya NEC hajarudisha tayari mna kibri namna, kawaelimisheni hao wana sheria ma beberu ma mbumbumbu watetezi wa ushoga.

NDUGU YANGU USIDANDIE KITU USICHOKIJUA, MTU ANAKUWA MGOMBEA PALE TU ANAPOPITISHWA NA CHAMA NA KUANZIA HAPO ANASTAHILI ULINZI WA ASKARI 5 KILA MAHALI NA USALAMA WA TAIFA 2. WAKILI KANUKUU SHERIA NA KIFUNGU HUSIKA NA KUTOA MIFANO YA WAGOMBEA AMBAO HIVI SASA WANATENDEWA SAWA SAWANA SHERIA. NADHANI AIDHA HUJUI AU CHUKI YAKO KWA LISSU NDIO INAKUTAFUNA, JIKAZE TU.
 
Tanzania ni dola huru hizo ni kelele za vyura tu

Uhuru wa dola yoyote una mipaka yake...

Ndiyo maana tuna UN, AU, SADC nk huku Tanzania tukiwa wanachama...

Dola inayofikia hatua ya "kutengeneza syndicates zisizo rasmi ndani ya mifumo rasmi kusimamia mauaji ya critics wa serikali", hiyo dola siyo tu haifai bali inatakiwa kung'olewa kabisa na kufukiwa ardhini na wananchi kuweka serikali yenye viongozi wanaoheshimu SHERIA na UTU wa kila mtu wanapotelekeza najukumu yao....

Kwa hiyo usidhani utanyanyasa, kuumiza na kuua watu wako hovyo kwa tamaa zako binafsi kiongozi pasipo kufuata sheria kwa kigezo cha " DOLA HURU" ukadhani dunia itakuangalia tu na kufikiri uko salama...

There's no such a thing...
 
Rubbish of highest level! Huyu amesajiliwa kufanyakazi TZ? OK kwani Lissu ni mgombea Urais anayefahamika na Tume? Kuna papala nyiiingi! akishapitishwa na kutambuliwa na tume ndo ajiite mgombea urais!
Mbona unahukumu ukiwa na jazba? Kwani form alizozichukua nec ni za kugombea nafasi gani zaidi ya urais? Au miye ndio sielewi juu ya form anazozitafutia udhamini ni za kugombea nafasi gani!
Kiutaratibu, ukishakabithiwa form za kugombea nafasi ya urais wa nchi, dola inatakiwa ikupe ulinzi wa ziada ili usidhuriwe na maasimu wako! Lipo wazi dunia nzima kwani jina lako linaingizwa kwenye historia ya nchi! Huko kwenu bongo Jambo hili hamlipi kipaumbele?
 
Open Letter to the Tanzania Police Force Regarding Attacks against Tundu Lissu - Robert Amsterdam


Today Robert Amsterdam of Amsterdam & Partners LLP has published an open letter addressed to the Tanzanian Police Force regarding the situation of his client, the opposition presidential candidate Tundu Lissu.

In the letter, Amsterdam writes: “we strongly demand that as a presidential candidate, Mr. Lissu is afforded the same security and protective measures ensured by precedent set in former elections, as well as the legal provisions provided to him. Under Section 3 of the Tanzania Police Force and Auxiliary Services Act (Cap. 322 R.E. 2002), the police are vested with the power to protect the rights, duties and interests of any individual referred to in Article 13(3) of the Constitution.

View attachment 1537743View attachment 1537744View attachment 1537745
Hakuna utopolo wa lumumba ambae anaelewa nini kimeandikwa hapo,utakuta wanajua ni mkopo wa kununulia sare za kampeni 2020
 
Kwani huyu mtu ni nani? Pumbavu hii ni nchi ni taifa. Mimi ingekuwa Raisi Magufuli nina mdeport lissu haraka kwao Ubelgiji.

Magu anamchekea sana huyu fala.
 
Usilinganishe ulimwengu wa kwanza na ulimwengu wa tatu...kuna wanaofund Breton woods na wanaokuwa funded

Wewi ni sawa na msaliti. Huwezi kusupport ushenzi juu ya nchi. Hata kama kuna kosa. Sasa naelewa nchi kuna watu ni watz na wanachukia hii nchi sana. You can go to hell, hii nchi itabaki.
 
Mmmh! Would be interesting to know Tundu Lisu amewaahidi nini hawa watu just in case anakuwa Rais. Ni miaka michache tu iliyopita hawa akina Amsterdam (Boers) walikuwa wanatawala South Africa kwa nguvu na kutotambua kama mtu mweusi ni binadamu. Leo wanawatetea akina Lisu kwa barua za wazi in the name human rights and democracy. Really? Mungu atusamehe tu hii ngozi nyeusi.
 
Back
Top Bottom