Robert Amsterdam & Partners LLP: Open Letter to the Tanzanian Police Force regarding attack against Tundu Lissu

Mbona unahukumu ukiwa na jazba? Kwani form alizozichukua nec ni za kugombea nafasi gani zaidi ya urais? Au miye ndio sielewi juu ya form anazozitafutia udhamini ni za kugombea nafasi gani!
Kiutaratibu, ukishakabithiwa form za kugombea nafasi ya urais wa nchi, dola inatakiwa ikupe ulinzi wa ziada ili usidhuriwe na maasimu wako! Lipo wazi dunia nzima kwani jina lako linaingizwa kwenye historia ya nchi! Huko kwenu bongo Jambo hili hamlipi kipaumbele?
Poor understanding!
 
Unapigwa risasi magazine nzima.. zote zinapigwa miguuni tu..

Matukio ya kupangwa yanawatia aibu..

Hakuna risasi hata moja iliyopiga kiunoni kwenda juu..

Muuaji gani aliyedhamilia kuua hajui organs za binadamu zinakaa eneo gani aziharibu..

Kuanzia tumboni kwenda juu mpaka kichwani ndipo uhai wa binadamu ulipo.. kuna ini, kuna figo, kuna mapafu, kuna moyo, kuna uti wa mgongo, kuna ubongo etc.. risasi alizopigwa lisu zote zimekwepa hivyo viungo.. zikawa zinapiga miguuni tu... mpigaji alikuwa anajua kabisa tunapanga tukio.. sipaswi kumuua lisu acha nipige chini tu.

Hata mtoto mdogo umpe risasi hawezi kufanya huo upuuzi kwa risasi 16,

Na dereva sasa hajachubuka hata kidole

Yaan upange kupigwa risasi?maumivu yale yote?? Kukaa hospital miakaa,kuwa kilema?wewee
 
Yaan upange kupigwa risasi?maumivu yale yote?? Kukaa hospital miakaa,kuwa kilema?wewee

Sio lazima apange yeye lissu.. kuna inside job ya mmojawapo wa viongozi wa chadema kwa sababu wanazozijua wao..

Narudia tena hakuna muuaji ambaye hajui sehemu gani akikupiga unakufa
 
Open Letter to the Tanzania Police Force Regarding Attacks against Tundu Lissu - Robert Amsterdam


Today Robert Amsterdam of Amsterdam & Partners LLP has published an open letter addressed to the Tanzanian Police Force regarding the situation of his client, the opposition presidential candidate Tundu Lissu.

In the letter, Amsterdam writes: “we strongly demand that as a presidential candidate, Mr. Lissu is afforded the same security and protective measures ensured by precedent set in former elections, as well as the legal provisions provided to him. Under Section 3 of the Tanzania Police Force and Auxiliary Services Act (Cap. 322 R.E. 2002), the police are vested with the power to protect the rights, duties and interests of any individual referred to in Article 13(3) of the Constitution.

View attachment 1537743View attachment 1537744View attachment 1537745
WHO ARE THOSE FOOLISH IN OUR MOTHER LAND TANZANIA??
 
Kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi bado hakuna mgombea Urais, wote ni watia nia hadi pale watakapo rudisha fomu na kuthibishwa na Tume ya Uchaguzi.

Process ni kama ile ile ya kwenye vyama watu kadhaa wanatia nia then mgombea mmoja anapitishwa rasmi na vikao husika.

So, kwa kifupi barua ya hao akina Amsterdam imekosea kusema ni mgombea na apatiwe ulinzi maalumu kwa sababu bado hakuna mgombea uRais aliyepitisgwa na Tume ya Uchaguzi.

hujasoma sheria ya uchaguzi
 
Unapigwa risasi magazine nzima.. zote zinapigwa miguuni tu..

Matukio ya kupangwa yanawatia aibu..

Hakuna risasi hata moja iliyopiga kiunoni kwenda juu..

Muuaji gani aliyedhamilia kuua hajui organs za binadamu zinakaa eneo gani aziharibu..

Kuanzia tumboni kwenda juu mpaka kichwani ndipo uhai wa binadamu ulipo.. kuna ini, kuna figo, kuna mapafu, kuna moyo, kuna uti wa mgongo, kuna ubongo etc.. risasi alizopigwa lisu zote zimekwepa hivyo viungo.. zikawa zinapiga miguuni tu... mpigaji alikuwa anajua kabisa tunapanga tukio.. sipaswi kumuua lisu acha nipige chini tu.

Hata mtoto mdogo umpe risasi hawezi kufanya huo upuuzi kwa risasi 16,

Na dereva sasa hajachubuka hata kidole
sijui unawaza kwa kutumia makalio?,ipo siku marafiki wanaokuzunguka watapanga ni namna gan wakukule hio tigo tuone kama utakuja hapa na hizo porojo zako
 
Ukabila na uelewa mdogo ni tatizo kwa maisha yetu. Hakuna CDM hapo, kinachokusumbua ni chama chenu! Uchaga!
Tanzania hatutambulishani kwa makabila hayo tumeanza kuona awamu hii pamoja na vibaraka wao.
 
1597583514029.png
 
Tanzania hatutambulishani kwa makabila hayo tumeanza kuona awamu hii pamoja na vibaraka wao.
That is a theory! Historia inatuonesha practice haiko hivyo. Walisema wao wamesoma saaana! Wanapendana saaana! Wameendelea saaana! Wapi! it was just like any other rubbish!
 
Lissu ameshakuwa Presidential candidate lini? Akishapitishwa na tume ndio anavaa huo uhusika. Hawa wanasheria vipi?!?
Nadhani hujasoma vizuri. Ni "CHADEMA Presidential candidate" Hivi mgombea wa urais aliyepitishwa na ACT au CUF etc, kwa kiingereza utamuandikaje?? JPM pamoja na kwamba ni rais aliyepo madarakani lakini pia ni "CCM Presidential candidate" Vyama vimeshawapitisha wagombea wao ambao wanasubiri kuteuliwa na NEC.
 
Aliyeshambuliwa si yupo nchini? Mkamuhoji huyo maana dereva yeye hakushambuliwa!
Si ndiyo kaja juzi tu na kuingia na kujificha kwenye kichaka cha uchaguzi mkuu. Wanaomhitaji ni viongozi weledi na wenye busara, ndio maana hawajamshughulikia. Bado anashughulikiwa na Mahakama na kisha wengine. Ila sisi bado tunahoji alipofichwa dereva wa Lissu, yule aliyekuwa naye siku ya shambulizi "la ndani".
 
Nadhani hujasoma vizuri. Ni "CHADEMA Presidential candidate" Hivi mgombea wa urais aliyepitishwa na ACT au CUF etc, kwa kiingereza utamuandikaje?? JPM pamoja na kwamba ni rais aliyepo madarakani lakini pia ni "CCM Presidential candidate" Vyama vimeshawapitisha wagombea wao ambao wanasubiri kuteuliwa na NEC.
Wote, nasema tena WOTE, ni WATIA NIA WA NAFASI YA KUGOMBEA URAIS (Party Presidential Aspirants) KWENYE 2020 GENERAL ELECTIONS. Wote ni aspiring presidential candidates kutoka kwenye vyama vyao. Hapo tarehe 26/08/2020 baada ya kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ndipo watakapokuwa rasmi wagombea wa Urais kupitia vyama vyao au Party Presidential Candidates. Hivyo basi sasa hivi ni watia nia tu na hawana haki ya kufanya kampeni ZOZOTE, vinginevyo, wanaweza kukutana na MAPINGAMIZI kutoka kwa hata WAPIGA KURA. Hivyo mwambieni Lissu awe very careful on this, asije akakutana na MAPINGAMIZI 100 kutokakwa registered voters; halafu aanze kulilia eti wametumwa na kuanza kuwasumbua akina AMSTERDAM bure.
 
Wote, nasema tena WOTE, ni WATIA NIA WA NAFASI YA KUGOMBEA URAIS (Party Presidential Aspirants) KWENYE 2020 GENERAL ELECTIONS. Wote ni aspiring presidential candidates kutoka kwenye vyama vyao. Hapo tarehe 26/08/2020 baada ya kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ndipo watakapokuwa rasmi wagombea wa Urais kupitia vyama vyao au Party Presidential Candidates. Hivyo basi sasa hivi ni watia nia tu na hawana haki ya kufanya kampeni ZOZOTE, vinginevyo, wanaweza kukutana na MAPINGAMIZI kutoka kwa hata WAPIGA KURA. Hivyo mwambieni Lissu awe very careful on this, asije akakutana na MAPINGAMIZI 100 kutokakwa registered voters; halafu aanze kulilia eti wametumwa na kuanza kuwasumbua akina AMSTERDAM bure.

Hujasoma sheria ya Uchaguzi: Mtia nia akishapitishwa na chama hata kabla hajapitishwa na TUME anatambulika kama Mgombea na anastahili ulinzi kwa mujibu wa sheria ya gharama za uchaguzi ambayo AMSTERDAM ameinukuu, na ndio maana anawajibika na makatazo kwa vile ni mgombea. Usidandie sana jambo ambalo hujalifanyia utafiti kaka,.
 
Hujasoma sheria ya Uchaguzi: Mtia nia akishapitishwa na chama hata kabla hajapitishwa na TUME anatambulika kama Mgombea na anastahili ulinzi kwa mujibu wa sheria ya gharama za uchaguzi ambayo AMSTERDAM ameinukuu, na ndio maana anawajibika na makatazo kwa vile ni mgombea. Usidandie sana jambo ambalo hujalifanyia utafiti kaka,.
Akikatwa inakuaje!? Mambo mengine si vizuri kuyazua tu kwa sababu ya upenzi, unazi na ushabiki. Hao wanaitwa Party Nominees for the post. NEC ndiyo inawateua na kuwafanya kuwa wagombea. Huyo Amsterdam ni underqualified in our laws. Usimuamini sana kwa vile he is white! Achana na hiyo kasumba.
 
Akikatwa inakuaje!? Mambo mengine si vizuri kuyazua tu kwa sababu ya upenzi, unazi na ushabiki. Hao wanaitwa Party Nominees for the post. NEC ndiyo inawateua na kuwafanya kuwa wagombea. Huyo Amsterdam ni underqualified in our laws. Usimuamini sana kwa vile he is white! Achana na hiyo kasumba.

sheria zetu huziamini!
 
Back
Top Bottom