Musiba ni nani?Eti nchi ya CCM, CCM hii hii inayochafuliwa na musiba hadharani kwenye vyombo vya habari?
Mkuu hata mimi nashangaa eti musiba anaogopwa na CCM kuzidi ebolaMusiba ni nani?
Mbona unashangaa mkuu? Huo ndio uhalisia tena tumshukuru RC kwa kuliweka wazi maana hakutaka kudanganya au kufichafichaHii nchi ni kwa ajili CCM???????!!!!!!!
Kifo cha binadamu kinashtua ndugu hahahahaaaaWaaache wauane bhana[emoji34]
Huu ni ungese sasa!Hii nchi ni kwa ajili CCM???????!!!!!!!
Nimekuelewa hahahaaaaaWauane kisiasa sio mwili[emoji852]