RIZ-1 Acha uoga kwa Bashite

Alvin A.

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
2,865
Reaction score
3,640
Siamini kama leo hii Riz1 anamuogopa DAB kiasi hiki [emoji28]

Yaani BASHITE anapost taarifa hata kabla haijawa delivered Riz huyu hapa kasha-SHARE
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kweli picha limegeuka wewe si ndio jamaa alikua anakufunga kamba za viatu pale white house??

Wote tuisome tu namba kwa kweli

Ova n out!!
 
watu kwa kupenda umbea, khaaa , source page ni fake, hiyo ya riz yenyewe inaweza kuwa fake,lakini watu wanatiririkaaaa, huyo poul makonda ndio sawa na paul makonda?
upuuzi, na utoto
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…