Riwaya Ya Pete

Riwaya Ya Pete

ngumbuke

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
502
Reaction score
535
Habari wanajamvi!
Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa.
Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa riwaya hii ilimuhusu kijana mmoja mcha Mungu hivi aliyeamua kuoa kinyume na matarajio yake.
Naomba nisaidiwe namna ya kuipata kutoka kwa yeyote anayeijua riwaya hii ya Kifalsafa.
 
Habari wanajamvi!
Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa.
Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa riwaya hii ilimuhusu kijana mmoja mcha Mungu hivi aliyeamua kuoa kinyume na matarajio yake.
Naomba nisaidiwe namna ya kuipata kutoka kwa yeyote anayeijua riwaya hii ya Kifalsafa.
Hata mimi natamani kupata kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom