Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,130
- Thread starter
- #201
Wadau kutokana na mawazo aliyoyatoa mdau mmoja humu kuwa niufunge uzi basi nimeamua kuheshimu mawazo yake. Kwa hiyo hii kazi mtaimalizia kwenye sehemu zilizoelekezwa.