Duh, marybaby ushafika mpaka episode hiyo. Kweli umekomaa, ulikua mbaliii
the Legend☆
Yaani na zawadi unipatie tupo sambamba kbs.ss nna kz ya kungoja tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakuandalia zawadi nzurii
Daily kimoko twende kazi papaa the_legendNtakuandalia zawadi nzurii
the Legend☆
ukimaliza tizi niambie
Kwahiyo nyumbani umekimbia kabisaYaani na zawadi unipatie tupo sambamba kbs.ss nna kz ya kungoja tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume ata ukimpa kumi kuchepuka ni hulka yao mama
Kwahiyo nyumbani umekimbia kabisa
HahahahahahaaMwanaume ata ukimpa kumi kuchepuka ni hulka yao mama
Mwanaume ata ukimpa kumi kuchepuka ni hulka yao mama
Kwahiyo zote zinakufanya usionekane nyumbani na ile mpya niliyoianza umeshaisoma kweliShangazi nimefungwa na mengi ujue..
Mkono wa chuma (sasa tupo sawa toka jana)
Laiti ningejua.
Mtt wa paroko nae tabu
Basi la nini sjui
Yaani vurugu tuu mwanao mie
Sent using Jamii Forums mobile app
Au naongea uongo dearHahahahahahaa
the Legend☆
Ewaaaa usijichoshe mamabaasi asante shangazi.kuanzia leo nikizidisha sana ni kamoja,otherwise ni nusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nnashinda humo mama huku naunguza mbogaKwahiyo zote zinakufanya usionekane nyumbani na ile mpya niliyoianza umeshaisoma kweli