RITA yapiga marufuku uvaaji wa mavazi yasiyofaa

Mwisho wa siku inategemea na mtazamo wa mtu., nilishawahi kuingia na pens ya timberland ofisi ya lecturer
chuo akagoma kunihudumia hadi nikavae kistaarab.
Af sitaki kuamini hl tangazo maana halina muhuri, sahihi wala logo na ni la 2011

Ndio practice za ofisi zetu nyingi za umma. Kwenye matangazo yao huwa hawaweki logo, mhuri, etc. Lakini kama tangazo limebandikwa kwenye premises za ofisi husika na ambao wamevaa hayo mavazi tajwa wanakataliwa na kuelekezwa kwenye tangazo husika bado utahitaji tangazo liwe na logo, mhuri au sahihi ili uamini?

Ina maana ukienda pale na pensi yako, halafu ukataliwe na kuonyeshwa tangazo na wenye ofisi bado hutaamini ni lao simply because halina sahihi, logo au mhuri?
 
Taasisi zote za umma/serikali zina dressing code. Na mambo yanayokatazwa mojawapo ni kama hayo yaliyotajwa kwenye Tangazo hilo la RITA.

Lakini Taasisi hizo za umma/serikali hazina dressing code kwa wateja wake. Mathalani mtu huwezi kwenda Muhimbili na kunyimwa huduma eti simply kwakuwa umevaa kininja au kaptura this is totally absurd.

Na mbaya zaidi kama ni ngozi nyeusi akiingia RITA na kaptura watamnyima huduma lakini kama ni MZUNGU utashangaa na kaptura yake au ki-top kitovu nje anapewa huduma! Colonial mindset!

BTW, hivi kirefu cha RITA ni nini? Maana nisije kuwa najadiri kumbe ni dhehebu fulani jpya la dini!!! (LoL)
 
Reactions: EMT
Mimi hapo kwenye unafiki wa maadili tu ndipo ninapochoka kabisa!

Tanzania na maadili wapi na wapi bana?
 
Duh! Kumbe hii kitu ni real hivi!

Wamefikiri nini hasa?

 
Reactions: EMT
Ok, ka linafanyiwa kazi ila limeandikwa kienyeji sana. Au wameliweka hivyo makusudi ili ikitokea issue walikane akosekane wa kuwajibika
Ila kwa sehemu kama RITA, Bank, na sehemu wanazohitaji watu kujilikana utambulisho wao sidhani ka ni vizuri kufunika macho..
Ila kwa hy mavazi mengine wangewa prohibit wafanyakazi wao








!!
 
Reactions: EMT
Naomba ushuhuda wa aliyekosa huduma RITA kwa ajili tu ya uvaaji wake?

Japokuwa hakukosa lakini inaonekana hii practice ipo.

 

Mawasiliano kwenye sehemu nyingi sana Tanzania ni ya hovyo! Jaribu kwenda kusindikiza mgeni pale stendi ya mabasi Ubungo halafu uingie hadi ndani uone.

Ukitoka unadaiwa hela lakini kwenye kuingilia hakuna tangazo linalosema wasindikizaji wanatakiwa kulipa ada. Kama lipo basi halionekani. Na kama halionekani kwa uwazi ni sawa na halipo.

I could go on and on about so many places where communication is poor to the nth degree.
 
Reactions: EMT

pengine ubonge ulikupongeza.Askari alichanganyikiwa kumuona miss bantu.
 
Hili tangazo halina hadhi yoyote ya kuwa kwenye ofisi ya serikali; kimantiki na kiuandishi

Tangazo linalokiuka haki za watu wazi kwa kisingizio cha maadili! What maadili?
 
Reactions: EMT
Hili tangazo halina hadhi yoyote ya kuwa kwenye ofisi ya serikali; kimantiki na kiuandishi

Tangazo linalokiuka haki za watu wazi kwa kisingizio cha maadili! What maadili?

Hiyo hoja ya maadili ya Kitanzania or whatever they call it haina mshiko hata kidogo. Manake tukianza kunyooshea vidole mambo yanayoaminika kuwa ni utovu wa maadili basi ni wachache sana kati yetu atayebaki salama.
 
Mtu akienda kitovu nje hawatampa huduma? Kwa sheria gani ya nchi mtu hahudumiwi na serikali kisa maadili?

utamuhudumiaje mtu ambae hana "maadili"
hapa naamanisha maadili kama yalivyotafsiriwa na RITA. maana kuna kuvaa kininja ni maadili kwa watu wengine ila kwa rita si maadili
 
Hili tangazo halina hadhi yoyote ya kuwa kwenye ofisi ya serikali; kimantiki na kiuandishi

Wanataka uvae layer-by-layer suit in a hot climate whose temperature is 38 degrees centigrade.
 
Hiyo hoja ya maadili ya Kitanzania or whatever they call it haina mshiko hata kidogo. Manake tukianza kunyooshea vidole mambo yanayoaminika kuwa ni utovu wa maadili basi ni wachache sana kati yetu atayebaki salama.

Maadili ya Kitanzania ndio yapi hayo? Kwa hiyo, hata Magufuli akiingia pale na parma yake watamkatalia kwa vile amevunja maadili? Mmasai akiingia pale amevaa kaptula yale watamkatalia huduma kwa sababu amevaa kaptula?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…