Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
Basi kazi mnayo, ukizingatia uvaaji wa sasa hivi ndo, maana hata ajali zinaongezeka...lol!
Acha tu mtuombee maana RITA ndo hivyo wameanza taasisi nyingine zikifuata hamta pata huduma, hata Dr. anaweza asimmtibu mgonjwa kisa kaja kavaa kimini....