Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mkuu lakini kuna mwananchi anadai ameenda pale kupata huduma akakataliwa kwa sababu alikuwa amevaa kaptula. Hatuwezi kulipuuzia kama kweli watu wanakataliwa huduma kutokana na mavazi yao. Soma hapa: MICHUZI: yale yaleeeee....
Kaptula hata wewe utaiafiki mtu aivae katika hadhara? Hoja kuu ni hiyo NIKABU!!