EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,303
- Thread starter
- #41
Mwisho wa siku inategemea na mtazamo wa mtu., nilishawahi kuingia na pens ya timberland ofisi ya lecturer
chuo akagoma kunihudumia hadi nikavae kistaarab.
Af sitaki kuamini hl tangazo maana halina muhuri, sahihi wala logo na ni la 2011
Ndio practice za ofisi zetu nyingi za umma. Kwenye matangazo yao huwa hawaweki logo, mhuri, etc. Lakini kama tangazo limebandikwa kwenye premises za ofisi husika na ambao wamevaa hayo mavazi tajwa wanakataliwa na kuelekezwa kwenye tangazo husika bado utahitaji tangazo liwe na logo, mhuri au sahihi ili uamini?
Ina maana ukienda pale na pensi yako, halafu ukataliwe na kuonyeshwa tangazo na wenye ofisi bado hutaamini ni lao simply because halina sahihi, logo au mhuri?