Risasi zinarindima pande za Njiro, Arusha

Risasi zinarindima pande za Njiro, Arusha

Wakuu nahisi kuna watu washafanya yao muda huu pande za njiro mitaa ya radio 5 maana zimepigwa risasi za kutosha zimesikika.

Kama sio kuvamiwa basi kuna mjinga tu kaamua kujifurahisha tu maana wknd hizi zinamambo na arusha silaha watu wanafanyiaga sifa...maana mlio ni kama short gun vile..

Kama ni tukio la uhalifu kesho itajulikana na nitawapa updates.
ni mimi nilikuwa natest mashine yangu
 
Wakuu nahisi kuna watu washafanya yao muda huu pande za njiro mitaa ya radio 5 maana zimepigwa risasi za kutosha zimesikika.

Kama sio kuvamiwa basi kuna mjinga tu kaamua kujifurahisha tu maana wknd hizi zinamambo na arusha silaha watu wanafanyiaga sifa...maana mlio ni kama short gun vile..

Kama ni tukio la uhalifu kesho itajulikana na nitawapa updates.
Ww uko njiro? Basi nenda eneo la tukio
 
Wakuu nahisi kuna watu washafanya yao muda huu pande za njiro mitaa ya radio 5 maana zimepigwa risasi za kutosha zimesikika.

Kama sio kuvamiwa basi kuna mjinga tu kaamua kujifurahisha tu maana wknd hizi zinamambo na arusha silaha watu wanafanyiaga sifa...maana mlio ni kama short gun vile..

Kama ni tukio la uhalifu kesho itajulikana na nitawapa updates.
Ndo shot gun maana huku songea nmesikia milio
 
Hata usijar. Nilkuwa naosha short gun yang kwa bahat mbya ikafyatuka.
 
Huu ni mwezi wa Diwali kwa wahindi hivyo husherekea kwa kupiga mafataki juu.acheni uchochezi na walimbukeni ktk ujuvi wa mambo
 
Back
Top Bottom