Risasi zinarindima pande za Njiro, Arusha

Risasi zinarindima pande za Njiro, Arusha

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,829
Wakuu nahisi kuna watu washafanya yao muda huu pande za njiro mitaa ya radio 5 maana zimepigwa risasi za kutosha zimesikika.

Kama sio kuvamiwa basi kuna mjinga tu kaamua kujifurahisha tu maana wknd hizi zinamambo na arusha silaha watu wanafanyiaga sifa...maana mlio ni kama short gun vile..

Kama ni tukio la uhalifu kesho itajulikana na nitawapa updates.
 
Sogea hapo, bullet za siku hizi sio hatarishi maana wanaopiga hawajulikani. Sogea hapo jamaa
 
mmmhhh kama zimesikika basi lazima kuna kitu......Any update?
 
Back
Top Bottom