Risala za Kiongozi wa nchi

Risala za Kiongozi wa nchi

Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2008
Posts
1,100
Reaction score
83
Heshima mbele sana wakuu,

Swali kwa wanasheria na wazee wa protokali, je suala la kiongozi mkuu wa nchi kuandikiwa RISALA ni swala la kisheria au ni utashi wa kiongozi mwenyewe, nafahamu J.M alikuwa mwandishi RISALA wa JK term ya kwanza, je nafasi hiyo inashikiliwa na nani kwa sasa au iko wazi?.
 
Back
Top Bottom