Hicho atakachokipata ndicho sisi wananchi tunakisubiri kwa hamu.Huyu Nape anataka kufukuzwa uwaziri.
Hivi hajui kama Makonda ana nguvu kubwa kuliko akina Samia.
Anachokitafuta atakipata muda si mrefu.
Libya kwa miguu siku 21?mmmmh au kutoka Dodoma hadi Dar mtaa wa LIBYA?Kama unaenda kwa miguu ni siku 21. Kama kwa Baiskeli zidisha mara 2. Kwa boda boda gawanya kwa 2.
we usiwe na imani lakini wapo watu wanahenya.Kama aliwatishia wafanyakazi wa Clouds kuwaingiza kwenye tuhuma za madawa ya kulevya. SASA TUTAZIAMINI VIPI ZILI LIST MBILI ZA WAHUSIKA WA MADAWA YA KULEVYA KAMA KWELI WOTE WALIKUA WANAHUSIKA? Au wengeni alikua na visa nao?
MIMI SINA IMANI TENA NA ZILE LIST ZA MAKONDA.
Aliwafata akina Wema Sepetu usiku kule shimoni,yani alikuwa anafatilia mzigo hadi central.
Hii itarushwa tu poa... habari ambazo hazitarushwa ni za yeye akijidai kufanya kazi kama RC wakati akiwa ha fit tena kwenye hiyo position... ni kwamba wanahabari hawatafanya nae kazi, hawampi ushirikiano wa kuuza sura kwa ticketi ya u RCKwa hyo hii habari kesho haitatoka kwenye magazeti yote tz na wala haitarushwa kwenye taarifa ya habari leo usiku
Sure...rais anaungwa nini sasa wakati naye yule yuleNape anafanya kosa la insubordination kwa JPM.
Kwahiyo kama Bashite amegoma kutoa ushirikiano kamati ingefanyaje?Ingemsubiri mpaka lini?Kama walikataa kuonesha habari ya dada yule bila ya kusikiza upande wa pili vipi wanaeaskiliza clouds na kutoa ripoti bila ya kumuhoji au kumsikiza makonda
Sasa hiko ni lugha ya sijui wahindi wekundu? Pole sanaSo what! at least an impact will is made.... an effect that shows not everyone agrees with his ways! and we simply want the RC to resign..... Tanzania is democratic country the last time I checked.
Bashite ameikimbia kamati kwa kutumia mlango wa nyuma.Kama walikataa kuonesha habari ya dada yule bila ya kusikiza upande wa pili vipi wanaeaskiliza clouds na kutoa ripoti bila ya kumuhoji au kumsikiza makonda
Maana yake ripoti kitaalam haijakamilika sababu imesikiliza upande mmoja..Tulifanya jitihada za kumtafuta Mkuu wa Mkoa, tulimpigia simu lakini hakupokea. Balile [HASHTAG]#RipotiYaUvamizi[/HASHTAG]
Kwani kakuambia anaogopa kufukuzwa?Huyu Nape anataka kufukuzwa uwaziri.
Hivi hajui kama Makonda ana nguvu kubwa kuliko akina Samia.
Anachokitafuta atakipata muda si mrefu.