kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,061
- 6,766
Timueni huyo FA FA FA kwenye ofisi za umma. Ni dhahiri vita ya madawa ilikuwa Ni ya kukomoa watu. Tunataka ichunguzwe kama ilikuwa vita halali ama la...hatumfundishi mtu kazi bali tunataka utawala wa sheria na katiba iheshimiwe sio mtu ajisifu anajiamini huku haki zawatu zinahujumiwa