Ripoti ya Prof.Mruma imekosa huu ufafanuzi mdogo tu ambao huenda ungepunguza mshituko

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Ukisoma hii ripoti utagundua kuwa imekosa kugusuia mambo machache ya muhimu na ambayo yangeweza kabisa kupunguza mshituko wa watu uliotokana na taarifa hiyo na pia kuwapunguzia lawama wawakezaji.

Sijui ni kwa bahati mbaya au makusudi,ripoti hii imejikita zaidi katika kueleza viwango tofauti vya wingi wa madini unaotokana na uchunguzi wao na data za TMAA bila kugusia maswala ya gharama za uzalishaji,mrabaha tunaostahili kupata,n.k bali wao walilenga kueleza kiasi cha madini na gharama zake tu.

Pamoja na kuonyesha uwepo wa tofauti kubwa ya kiasi cha madini kilichopo katika makontena ukilinganisha na data za TMAA,tofauti inayopelekea kuonekana kuwa fedha nyingi zinapotea,kamati ilipaswa pia kuwasiliana na kampuni ya ACASIA na wadau wengine ili kujua ni gharama kiasi gani kampuni hiyo inatumia kuchimba madini hayo,kuuhifidha mchanga huo,kuusifirisha pamoja na gharama za uchenguaji wa huo mchanga nje ya nchi.

Kwa mtazano wangu, gharama hizi zilipaswa kutajwa/kuonekana katika ripoti ile unless mrabaha tunaolipwa haujali gharama hizo za uzalishaji bali unaangalia tu thamani halisi ya madini tu kama kamati ambavyo ripoti ya kamati inavyojaribu kutuonyesha /kutujengea picha.

Na kama mrabaha wa asilimia 4 wanaotulipa haujali gharama ya uzalishaji basi hapa inabidi tujiulize ilikuwaje wakakubali jambo kama hili kama kweli hamna namna wanavyotuibia kurudisha gharama zao na pengine kutengeneza faida zaidi unless huu ndio utaratibu uliopo dununiani kote katika kukokotoa hiyo mirahaba

Naamini ukichukua gharama halisi ya madini hayo ukatoa gharama za uchimbaji,uhifadhi,usafirishaji na gharama ya uchenguaji na kisha ndio ukaweka asilimia ya mrabaha tunayostahili kuwatoza,hasara tunayopata isingefika kiasi kile kilichotamkwa na kusababisha mshutuko mkubwa kwa watu.

Pia nimeshindwa kuelewa ni kwanini ripoti haikutamka wazi kuwa baadhi ya madini ambayo hatupati chochote msingi wake ni mkatataba tulioingia sisi wenyewe.

Yaani wameorodhesha aina ya madini hayo na viwango vyake vilivyopo katika mchanga na fedha tunazopoteza bila kufafanua kuwa kwa mujibu wa mkataba sisi hatuna chetu katika madini hayo(sijui walikua wanafichi nini na kwa faida ya nani)

Hata hivyo, tatizo hapa huenda linatokana na wao kutoa summary tu hivo kupelekea taarifa zingine muhimu tusizipate kulingana na uchunguzi wao.

NB:Kuhusu viwango vya madini vinavyopatika katika huo mchanga kulingana na findings za kamati ,binafsi sitaki kuzipinga wala kuzikubali mpaka pale uchunguzi huru utakapofanyika.
 
Mi niliona jinsi watu wanavyoshangilia kuwa sasa tumepata viongozi! Mi nikawajibu mmh inabidi tuone hiyo report maana nawajua sana wazee wa kuongeza ma zero mbele! But this time ngojea tuone hii kiki inaishia wapi
 
Mkuu. MRABAHA ni 4% kwenye thamani ya mauzo ghafi. Haijalishi gharama zao zozote. Na JK ndie aliefikisha hapo. Mwanzo ilikua 3% kwenye faida. Huo ulikua WIZI.

Jambo lingine kamati haikuliweka sawa ni kuelezea uzalishaji wa mwaka wa migodi mingine. Je kule Geita hawatuibii namna hii?
 
Ukiisikiliza kwa makini hotuba ya raisi sio tu kwamba watakua wamefanya uchunguzi chances ni kwamba wamefanya smelting pia kuondoa utata wowote. Mtu anapokwambia ndani ya nchi zipo smelters ndogo na anajua zilipo jiulize kidogo yeye za nini, kajuaje and what are the chances kuzitumua.
 
Li ripoti la kijinga kweli kweli! Eti mle kwenye makontena kuna tani 1.5 za mchanga, mengine yote ni madini (tani 18.5) na bado makontena yanaitwa yamebeba mchanga!!
 
Ukisoma hii ripoti utagundua kuwa imekosa kugusuia mambo machache ya muhimu na ambayo yangeweza kabisa kupunguza mshituko wa watu uliotokana na taarifa hiyo na pia kuwapunguzia lawama wawakezaji.

Sijui ni kwa bahati mbaya au makusudi,ripoti hii imejikita zaidi katika kueleza viwango tofauti vya wingi wa madini unaotokana na uchunguzi wao na data za TMAA bila kugusia maswala ya gharama za uzalishaji,mrabaha tunaostahili kupata,n.k bali wao walilenga kueleza kiasi cha madini na gharama zake tu.

Pamoja na kuonyesha uwepo wa tofauti kubwa ya kiasi cha madini kilichopo katika makontena ukilinganisha na data za TMAA,tofauti inayopelekea kuonekana kuwa fedha nyingi zinapotea,kamati ilipaswa pia kuwasiliana na kampuni ya ACASIA na wadau wengine ili kujua ni gharama kiasi gani kampuni hiyo inatumia kuchimba madini hayo,kuuhifidha mchanga huo,kuusifirisha pamoja na gharama za uchenguaji wa huo mchanga nje ya nchi.

Kwa mtazano wangu, gharama hizi zilipaswa kutajwa/kuonekana katika ripoti ile unless mrabaha tunaolipwa haujali gharama hizo za uzalishaji bali unaangalia tu thamani halisi ya madini tu kama kamati ambavyo ripoti ya kamati inavyojaribu kutuonyesha /kutujengea picha.

Na kama mrabaha wa asilimia 4 wanaotulipa haujali gharama ya uzalishaji basi hapa inabidi tujiulize ilikuwaje wakakubali jambo kama hili kama kweli hamna namna wanavyotuibia kurudisha gharama zao na pengine kutengeneza faida zaidi unless huu ndio utaratibu uliopo dununiani kote katika kukokotoa hiyo mirahaba

Naamini ukichukua gharama halisi ya madini hayo ukatoa gharama za uchimbaji,uhifadhi,usafirishaji na gharama ya uchenguaji na kisha ndio ukaweka asilimia ya mrabaha tunayostahili kuwatoza,hasara tunayopata isingefika kiasi kile kilichotamkwa na kusababisha mshutuko mkubwa kwa watu.

Pia nimeshindwa kuelewa ni kwanini ripoti haikutamka wazi kuwa baadhi ya madini ambayo hatupati chochote msingi wake ni mkatataba tulioingia sisi wenyewe.

Yaani wameorodhesha aina ya madini hayo na viwango vyake vilivyopo katika mchanga na fedha tunazopoteza bila kufafanua kuwa kwa mujibu wa mkataba sisi hatuna chetu katika madini hayo(sijui walikua wanafichi nini na kwa faida ya nani)

Hata hivyo, tatizo hapa huenda linatokana na wao kutoa summary tu hivo kupelekea taarifa zingine muhimu tusizipate kulingana na uchunguzi wao.

NB:Kuhusu viwango vya madini vinavyopatika katika huo mchanga kulingana na findings za kamati ,binafsi sitaki kuzipinga wala kuzikubali mpaka pale uchunguzi huru utakapofanyika.
Mkuu sisi tuko huku mwakitolyo tunafanya hiyo kazi ya dhahabu, mrahaba huwa ni hiyo asilimia 4 serikali inapata bila kutoa gharama yoyote, mfano ukipata kilo 2 ambayo kwa sasa ni kama milion 160 hivi, 4% ya serikali inakuwa ni milion sita na laki nne hiyo inakuwa hakuna mjadala
 
Hii wala sio sababu as long as unataja fedha tulizopoteza.
Nadhani Kuna vitu vingi vya kuzingatia kabla ya kukimbilia huko ndio maana zikwepo busara za kuwepo wachumi na wanasheria.
Hapo Kuna mrabaha na wenyewe ulikuwa 3% ukaja kubadilika katika na kuwa 4%
Kuna zile service levy za almashauri kama zilikokotolewa kwa kiwango kisicho sahihi
Mambo ya kimikataba ambayo sisi raia hatujui huu uchunguzi unaushawishi gani huko
Kuna suala la kujua kwa kiwango hiki kipya wangepaswa kulipa kodi ya mapato lini
Na mambo lukuki ya kiuchumi na kisheria ambayo yako nje ya uwezo wa Ile technical team.
Uvumilivu ktk kuelekea maamuzi sahihi ni muhimu
 
Mkuu. MRABAHA ni 4% kwenye thamani ya mauzo ghafi. Haijalishi gharama zao zozote. Na JK ndie aliefikisha hapo. Mwanzo ilikua 3% kwenye faida. Huo ulikua WIZI.
Jambo lingine kamati haikuliweka sawa ni kuelezea uzalishaji wa mwaka wa migodi mingine. Je kule Geita hawatuibii namna hii?

Kamati ilipaswa kufafanua yote haya.Hata hivyo ni wazi tumepigwa sana kwa kutumia mikataba hii mibovu.
 
Ukisoma hii ripoti utagundua kuwa imekosa kugusuia mambo machache ya muhimu na ambayo yangeweza kabisa kupunguza mshituko wa watu uliotokana na taarifa hiyo na pia kuwapunguzia lawama wawakezaji.

Sijui ni kwa bahati mbaya au makusudi,ripoti hii imejikita zaidi katika kueleza viwango tofauti vya wingi wa madini unaotokana na uchunguzi wao na data za TMAA bila kugusia maswala ya gharama za uzalishaji,mrabaha tunaostahili kupata,n.k bali wao walilenga kueleza kiasi cha madini na gharama zake tu.

Pamoja na kuonyesha uwepo wa tofauti kubwa ya kiasi cha madini kilichopo katika makontena ukilinganisha na data za TMAA,tofauti inayopelekea kuonekana kuwa fedha nyingi zinapotea,kamati ilipaswa pia kuwasiliana na kampuni ya ACASIA na wadau wengine ili kujua ni gharama kiasi gani kampuni hiyo inatumia kuchimba madini hayo,kuuhifidha mchanga huo,kuusifirisha pamoja na gharama za uchenguaji wa huo mchanga nje ya nchi.

Kwa mtazano wangu, gharama hizi zilipaswa kutajwa/kuonekana katika ripoti ile unless mrabaha tunaolipwa haujali gharama hizo za uzalishaji bali unaangalia tu thamani halisi ya madini tu kama kamati ambavyo ripoti ya kamati inavyojaribu kutuonyesha /kutujengea picha.

Na kama mrabaha wa asilimia 4 wanaotulipa haujali gharama ya uzalishaji basi hapa inabidi tujiulize ilikuwaje wakakubali jambo kama hili kama kweli hamna namna wanavyotuibia kurudisha gharama zao na pengine kutengeneza faida zaidi unless huu ndio utaratibu uliopo dununiani kote katika kukokotoa hiyo mirahaba

Naamini ukichukua gharama halisi ya madini hayo ukatoa gharama za uchimbaji,uhifadhi,usafirishaji na gharama ya uchenguaji na kisha ndio ukaweka asilimia ya mrabaha tunayostahili kuwatoza,hasara tunayopata isingefika kiasi kile kilichotamkwa na kusababisha mshutuko mkubwa kwa watu.

Pia nimeshindwa kuelewa ni kwanini ripoti haikutamka wazi kuwa baadhi ya madini ambayo hatupati chochote msingi wake ni mkatataba tulioingia sisi wenyewe.

Yaani wameorodhesha aina ya madini hayo na viwango vyake vilivyopo katika mchanga na fedha tunazopoteza bila kufafanua kuwa kwa mujibu wa mkataba sisi hatuna chetu katika madini hayo(sijui walikua wanafichi nini na kwa faida ya nani)

Hata hivyo, tatizo hapa huenda linatokana na wao kutoa summary tu hivo kupelekea taarifa zingine muhimu tusizipate kulingana na uchunguzi wao.

NB:Kuhusu viwango vya madini vinavyopatika katika huo mchanga kulingana na findings za kamati ,binafsi sitaki kuzipinga wala kuzikubali mpaka pale uchunguzi huru utakapofanyika.
Tena huwa tunalipa kupitia Nmb bank
A/c no. 30701000078 ministry of energy& minerals
 
Nadhani watu huwa hamsikilizi hotuba vinzuri na pengine kwa sababu tayari mnakuwa mnaegemea upande fulani. Mmeambiwa hivi kulikuwa na tume mbili, tume hii ya Mruma ilijikita kwenye laboratory analysis ya contents zilizopo kwenye makontena. Tume inayofuata yenyewe imejikita kwenye financial na mikataba. Sikiliza hotuba vinzuri kabla hujacomment.



 
Mkuu sisi tuko huku mwakitolyo tunafanya hiyo kazi ya dhahabu, mrahaba huwa ni hiyo asilimia 4 serikali inapata bila kutoa gharama yoyote, mfano ukipata kilo 2 ambayo kwa sasa ni kama milion 160 hivi, 4% ya serikali inakuwa ni milion sita na laki nne hiyo inakuwa hakuna mjadala
Naambiwa hapa mwanzoni ilikuwa ni 3% ya faida wakati wa Mkapa.Soma comment no.7 ya mdau mmoja katika huu uzi amefafanua.

Sasa kama ni kweli mbona hawakusema?
 
Ukisoma hii ripoti utagundua kuwa imekosa kugusuia mambo machache ya muhimu na ambayo yangeweza kabisa kupunguza mshituko wa watu uliotokana na taarifa hiyo na pia kuwapunguzia lawama wawakezaji.

Sijui ni kwa bahati mbaya au makusudi,ripoti hii imejikita zaidi katika kueleza viwango tofauti vya wingi wa madini unaotokana na uchunguzi wao na data za TMAA bila kugusia maswala ya gharama za uzalishaji,mrabaha tunaostahili kupata,n.k bali wao walilenga kueleza kiasi cha madini na gharama zake tu.

Pamoja na kuonyesha uwepo wa tofauti kubwa ya kiasi cha madini kilichopo katika makontena ukilinganisha na data za TMAA,tofauti inayopelekea kuonekana kuwa fedha nyingi zinapotea,kamati ilipaswa pia kuwasiliana na kampuni ya ACASIA na wadau wengine ili kujua ni gharama kiasi gani kampuni hiyo inatumia kuchimba madini hayo,kuuhifidha mchanga huo,kuusifirisha pamoja na gharama za uchenguaji wa huo mchanga nje ya nchi.

Kwa mtazano wangu, gharama hizi zilipaswa kutajwa/kuonekana katika ripoti ile unless mrabaha tunaolipwa haujali gharama hizo za uzalishaji bali unaangalia tu thamani halisi ya madini tu kama kamati ambavyo ripoti ya kamati inavyojaribu kutuonyesha /kutujengea picha.

Na kama mrabaha wa asilimia 4 wanaotulipa haujali gharama ya uzalishaji basi hapa inabidi tujiulize ilikuwaje wakakubali jambo kama hili kama kweli hamna namna wanavyotuibia kurudisha gharama zao na pengine kutengeneza faida zaidi unless huu ndio utaratibu uliopo dununiani kote katika kukokotoa hiyo mirahaba

Naamini ukichukua gharama halisi ya madini hayo ukatoa gharama za uchimbaji,uhifadhi,usafirishaji na gharama ya uchenguaji na kisha ndio ukaweka asilimia ya mrabaha tunayostahili kuwatoza,hasara tunayopata isingefika kiasi kile kilichotamkwa na kusababisha mshutuko mkubwa kwa watu.

Pia nimeshindwa kuelewa ni kwanini ripoti haikutamka wazi kuwa baadhi ya madini ambayo hatupati chochote msingi wake ni mkatataba tulioingia sisi wenyewe.

Yaani wameorodhesha aina ya madini hayo na viwango vyake vilivyopo katika mchanga na fedha tunazopoteza bila kufafanua kuwa kwa mujibu wa mkataba sisi hatuna chetu katika madini hayo(sijui walikua wanafichi nini na kwa faida ya nani)

Hata hivyo, tatizo hapa huenda linatokana na wao kutoa summary tu hivo kupelekea taarifa zingine muhimu tusizipate kulingana na uchunguzi wao.

NB:Kuhusu viwango vya madini vinavyopatika katika huo mchanga kulingana na findings za kamati ,binafsi sitaki kuzipinga wala kuzikubali mpaka pale uchunguzi huru utakapofanyika.
Mimi naomba nichangie kama ifuatavyo....
Royalties au mrabaha inalipwa toka kwenye gross revenue. Infact huwa inalipwa hata kabla ya madini kuondoka nchini...iwe hizo concentrates au ready made gold bars.
Katika uchimbaji wa madini ya dhahabu sio kuwa kila mwezi mtapata kiwango sawa na mwezi uliopita au ujao. Wakati unanzisha shimo kunakuwa na waste nyingi zaidi ya ore. Kadiri unavyokwenda chini viwango vya gold concentration per tonne vinaanza kuongezeka ingawa siyo linearly.....kiblock kimoja chaweza kuwa na say 5 grams per tonne na kingine kikawa na 2 grams per tonne, nk.
Kuna wakati gharama za uzalishaji wa ounce moja huwa kubwa kuliko bei y kuuzia. Mfano, kama grade ni ndogo wakati other fixed costs ni zilezile bila kujali kiwango cha uwepo wa mali katika kifusi madini, basi waweza kukuta ounce moja inazalishwa kwa dola 1,300 wakati bei ya kuiuza itakuwa 1,200. Hapo ndipo panapokuja uzuri wa kulipwa mrabaha kutoka kwenye gross revenue badala ya net profit.
Mambo yanapokuwa mazuri gharama ya kuzalisha ounce moja yaweza kushuka hadi dola 750 na hivyo kupata faida ya kama dola 450 kwa ounce na hivyo kufidia hasara zilizopita au zijazo.
Kiwastani migodi mingi Tanzania huwa na average cost of production ya dola 800 mpaka 900 kwa ounce. Hivyo faida huwa kama dola 300 mpaka 400 kwa ounce. Bahati mbaya hizi zinapokwenda kurudisha mtaji wa mwekezaji faida halisi huchukua muda mrefu kuanza kupatikana. Kwahiyo iwapo mrabaha ungesubiri mpaka investors waanze kupata faida halisi basi kuna uwezekano kwa baadhi ya migodi tusingeambulia kitu.
 
Tusubiri report ya pili ya wachumi na wanasheria.
Wao walikuwa wamebase kwenye technical zaidi. Suala la mrabaha nadhani ni la wachumi na wanasheria zaidi
Technical ingeishia chumbani kwao na magufuri...taifa lingeambiwa ukweli tumepoteza kiasi gani cha kodi... Na si kuweka taharuki kwa wananchi ambao hawajui chochote
 
Mkuu. MRABAHA ni 4% kwenye thamani ya mauzo ghafi. Haijalishi gharama zao zozote. Na JK ndie aliefikisha hapo. Mwanzo ilikua 3% kwenye faida. Huo ulikua WIZI.

Jambo lingine kamati haikuliweka sawa ni kuelezea uzalishaji wa mwaka wa migodi mingine. Je kule Geita hawatuibii namna hii?
Hivi nyie viumbe elimu yenu inawasaidia au mnasummbuliwa na utoto? Mgodi wa Geita ulitoa makinikia lini?
 
Back
Top Bottom