Ripoti ya Kifo cha Mwangosi



ndio maana hata darasani ulikuwa unakuwa wa mwisho kila muhula!!!
 
ifungueni muitandaze hapa hata sisi tutumiao simu tuisome. mia
 
Nilitegemea ripoti ya Kamati ya Nchimbi pia nioanishe na hii. Ahsanteni mlioleta hii pia.
 



yote waliyoandika hapa asilimia 95 ndio yaliyotangazwa na kuyasoma mitandaoni....
 
ripoti haijaeleza kwa nini Godfrey Mushi alikuwa akipigwa na
polisi mpaka Mwangosi kuingilia kati,na kugeuziwa kibao


ndo wandishi wa habari wenyewe hawa!!! report iko less denser kweli......wameandika juu juu sana......
 
Nashondwa hatakuelewa ripot mi ya kina nani mbona ipo kwa kiingeleza.
 
Well sijaifungua hii lkn taarifa nilizopata ni kwamba hawajadisclose chochote kwa madai kwamba wataingilia uhuru wa mahakama kwa kuwa suala liko ktk chombo hicho. So siku 30 za kazi plus posho walizolamba ndo hatima yake

kwa hiyo wamefanya kifo cha mwangosi mtaji wa kutengeneza 'other income', shame
 
"However, investigations by the MCT team could not establish if the killing of Mwangosi was pre-meditated". This statement nullify all of the stories in the Report. Na hii ndio tunasema ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi wa Tanzania


kuna hiki kipande tena....hapa chini kwenye red..ndani ya report sioni hao watoto wakitoa huo ushahidi muhimu!!

''Mashahidi walioshuhudia katika kijiji cha Nyololo, wakiwemo watoto
walikuwa vyanzo muhimu''
 
Wengine tunatumia mchina phone, tunaomba mui copy ili tuweze kuisoma
 
Jambo lolote litakalofanyika ambalo halitasababisha Michael Kamuhanda, ambaye anaendelea na kazi yake ya Upolisi na cheo chake cha Kamishina wa Polisi na wadhifa wake wa Kamanda wa polisi Mkoa wa Iringa, Kufungwa. Jambo hilo halina maana na ni upotevu wa fedha za wananchi!!
 
CCM ni taifa kubwa hakuna CCM nyingine duniani ndio maana hakuna haja ya kuweka kirefu chake! hata mtoto alozaliwa leo anajua CCM inastand for what !
Chaguzi za UVCCM sasa hivi ndivyo wanavyohudhuria. na sifa ya pili Gachuma amewaomba mvute bangi sana.

 
''hitimisho na mapendekezo'' yameniacha hoi!!! hawa waandishi wetu hawa!!!! kuna mapendekezo gani hapa???.......kazi ipo ndani ya nchi hii..ndio maana njomba nkapa alikuwa angoma kuhojiwa nao
 
Asante sana kwa taarifa ambayo imeeleza kwa usahihi yale yaliyotokea. Lakini sikubaliani na hitimisho eti 'haiwezi kuthibitishwa kama mauaji ya mwangosi yalipangwa'. Huu ni woga wa hatari kwa tume. Katika maelezo imeelezwa jinsi kamuhanda alivyomchukia mwangosi kwa maswali yake,tena mara mbili (katika mkutano wa asubuhi ofisini na pale kijijini nyololo). Inaelezwa kuwa kamuhanda aliamua kuongoza mapambano katika eneo la damu (B) baada ya kumlaumu RCO kwa kuendesha zoezi kwa amani katika eneo tulivu (A). Inaelezwa kuwa kamuhanda alifuatwa na mwandishi kuambiwa kuwa huyo anayepigwa ni mwandishio wa habari lakini akapuuza na kufunga vioo. Inaelezwa kuwa gari la kamuhanda lilipopiga honi ndipo bomu lililomuua mwangosi lilifyatuliwa.
Katika mazingira haya tume haioni kuwa kamuhanda ndiye alipanga na kuagiza mauaji ya mwangosi? Kama isingekuwa hivyo, huyo ocd asseri aliyekuwa akiwakataza polisi wasimpige mwangosi amri yake ingefuatwa, lakini kwa kuwa pilisi walikuwa wakitekeleza amri ya mkubwa zaidi ya ocd, waliendelea na mauaji. kwa nini wanakijiji wa nyololo walitishwa siku moja kabla iwapo hayo hayakuwa yamepangwa?
Tume imetu-let down kwa statement hiyo ya mwisho
 
Sio siri, ninaposoma taarifa kama hizi ninatamani sana niwakamate baadhi ya hao askari, kwanza niwatandike viboko kisawasawa, kisha niwatupie bomu la machozi kwenye matumbo yao!

Kwa ufupi, matukio kama haya yananifanya niwachukie askari polisi, wala nisiwaone kama ni watu kwa ajili ya usalama wangu.
 
yote waliyoandika hapa asilimia 95 ndio yaliyotangazwa na kuyasoma mitandaoni....
.
Bongo mtaji ni laptop na modem tu na wewe unaweza kuwa Bloger na mwandishi wa kujitegemea na ukashinda nyumbani kwa copy & paste tu.
 
''hitimisho na mapendekezo'' yameniacha hoi!!! hawa waandishi wetu hawa!!!! kuna mapendekezo gani hapa???.......kazi ipo ndani ya nchi hii..ndio maana njomba nkapa alikuwa angoma kuhojiwa nao
Ulidhani Rais Museven ni mjinga kuamka na BBC? East Africa kuna nchi moja tu na ni Kenya peke yake.
 
nimetukana sana baada ya kusoma hii ripoti...hawa jamaa ni vilaza sana....ngoja nikafanye mambo mengine yamaana bana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…