Ripoti ya CAG 2017/2018: Deni la Taifa laongezeka kutoka trilioni 46.08 kufikia Trilioni 50.92

RtsHjcq

JF-Expert Member
Aug 19, 2017
4,753
5,504
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1554890629850.jpg
    FB_IMG_1554890629850.jpg
    32.1 KB · Views: 153
Hivi wataalamu wetu hawawezi kutueleza ni kwa namna gani deni hilo linaweza kupunguzwa?
Majuzi tunaambiwa kwamba mali za nchi yetu zinaibiwa kwa mbinu za ajabu - eti hata kwenye side mirror mzigo unabebwa, mara kwenye spair taili, mara kwenye matikiti maji ... jamani ... tuhurumiane.
 
Hivi wataalamu wetu hawawezi kutueleza ni kwa namna gani deni hilo linaweza kupunguzwa?
Majuzi tunaambiwa kwamba mali za nchi yetu zinaibiwa kwa mbinu za ajabu - eti hata kwenye side mirror mzigo unabebwa, mara kwenye spair taili, mara kwenye matikiti maji ... jamani ... tuhurumiane.
Wapo mkuu,ngoja watakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DENI LA TAIFA LAONGEZEKA.

Deni la taifa katika Ripoti ya CAG linaonyesha kuongezeka kutoka trillion 46.08 kwa mwaka unaoishia juni 2017 hadi kufika Trillion 50.92 huku deni la ndani likiwa shilingi Trillion14.73 na deni la nje likiwa trillion 36.19 ikiwa ni ongezeko la asilimia 10.

CAG Prof Assad Amesema deni hilo ni himilivu licha cha kuwepo kwa mapungufu mbalimbali katika usimamizi ikiwemo katika usahihi wa taarifa kutokana na udhibiti wa ndani usiojitosheleza.View attachment 1067574

Sent using Jamii Forums mobile app
CAG anasema ni DENI HIMILIVU.
 
Hilo Ni ongezeko dogo Sana ukolinganisha na miradi mikubwa tunayofanya.

Miaka mingine ongezeko lilikuwa kubwa zaidi ya hili.

Hongera Sana Mhe Rais katika hili

BahariaChomboni
 
Kwa hesabu hizo ina maana kila mtanzania, hata yile anayenyonya anadaiwa TZS 925,818. Kama ndani ya nyumba mpo watu 6 kwa maana ya baba, mama na watoto 4, deni lenu ni TZS 5,554,908.
 
Back
Top Bottom