Ripoti ya "ajabu" ya NAPE huko Houston...!


Mkuu wasamehe kwa hayo wanafanya. Utamaduni wa kutembeza bakuli umewaingia sana.
 
damn right!
Umesema vyema... Nape ni nuru na taa ya matumaini yaliyopotea CCM, sio Tanzania.... ni CCM!!!

at least ume-qualify statement yako....

As far as I am concerned, Nape is significant to CCM, and not Tanzania

Am I right?
 
Kuna vitu vingine vya k.is.enge sana...eti nape anaendelea na ziara yake inchini marekani kukagua uhai wa chama.......

uhai wa ccm marekani??!!
 

Mkuu kwa taarifa yako hakuna ukweli wowote katika taarifa hiyo. Mtanzania mwenye kujua mambo hawezi kuamini lolote katika taarifa hii.
 
Kuna vitu vingine vya k.is.enge sana...eti nape anaendelea na ziara yake inchini marekani kukagua uhai wa chama.......

uhai wa ccm marekani??!!

Mkuu punguza hasira njaa ni kitu kibaya sana. Huondoa common sense na utu wa kawaida.
 
Kama wamemtegemea nape basi mwendawazimu yeyote aweza kuwa wa msaada kwao pindi wanapoingia kwenye migogoro.
 
embu basi wekeni hata picha moja yenye wanachama hata kumi tu wakiwa na huyo Nape hili tujue the significance of this useless post. Jamani amna siasa nje ya Tanzania kinachoendelea ni uvujaji wa hela za walipa kodi tu.
 
Zingatia red! sijui mgogoro ungemalizika vipi kwa rais kufanya ziara peke yake au ndo unataka kusema rais alishindwa kuutatua, na kama ndo hivo ni nini uwezo wa Nape vs Rais
 
hivi nani anaweza kunionyesha ofisi za matawi ya DEMOCRATS na REPUBLICANS hapa Tanzania?

mkuu mbona yapo! kigamboni, nenda mpanda kuna tawi, ubungo symbion, kama sikosei nyamongo geita au resolute kwa ,alias, kigwangala. i stand to be corrected!
 
Hivi hao wakimbizi huwa wanapiga kura wakati wa uchaguzi? Ima maana Nape yuko kwenye ziara ya Mkoa wa kichama Marekani. Enyi wakimbia shida, mngekuwa mnayajua yanayotokea huku hata msingethubutu kumsikiliza huyo vuvuzela, kashindwa kusuluhisha mgogoro wa UVCCM Arusha, amekimbilia huko kula bata! Na wakitimiza mission yao ya kuwamaliza Anti-DOWANS nchi haitakalika!
 
Ina maan Nape akiwa nje ya nchi anakuwa na akili zaidi au tuseme basi amefunguka macho
 
...Yaani hii ni moja ya thread ya upupu ya mwaka...!! Eti JK alishindwa kumaliza mgogoro...... !! Uwezo wa kujibu hapo kwa hapo wa Nape yaani sifa hizi ni sawa na mtu kumsifia Manji kwa kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani mwenye dhamana pia ya kusimamia na kuondoa wizi !!
 
sijui kama amewaambia huku hakuna umeme wa uhakika kama huko,sukari na kila kitu bei juu dola moja 1,800/ hawajui anvyozunguka kuuwa ccm ili akija na ccj yake awe juu........
 
Once again, Hebu wawatolee uchafu wao wa magamba huko Marekani.
 
Kama nape ndo suluhisho kwani nawaombea mpoteze mawazo ya kurudi Bongo maana nyie mnaonekana mzigo kwa wapenda maendeleo na mabadiliko ya kisiasa,mtu kama kashindwa kutatua hapa leo mnasema ana uwezo mkubwa,laaa!
Nimeghaili siendelei kujadili hoja kuhusu uwezo wa Nape
 
Nape ni NURU na TAA ya matumaini yaliopotea CCM kwa siku nyingi.Anawanyima usingizi wapinzani wake na anazidi kuwatimulia vumbi, ushahidi ni Igunga.viva nape viva ccm viva kikwete.
Ninani aliyapoteza matumaini ya sisiemu? Nape alikuwa wapi wakati matumaini hayo yanapotea?Halafu kwanini unasema uongo, mbona Nepi hakuruhusiwa na mheshimiwa sana Rostam Azizi kukanyaga Igunga na alipo kaidi Mukama alimkemea kama mtoto mdogo. Kwa taarifa yako Nepi hana nuru yoyote sana sana yeye ni gundu, na ameyashika makorodani ya simba muda si mrefu atarudi kwao Singida na kilio cha mtu mzima.
 
Hawa ndio waliokuwa na mgogoro huko ughaibuni? Mbona sura zao zinaonesha niwatu wenye msongo?
 
ccm wajanja sana wameamua kusuluhisha mgogoro wa nje coz wanajua 2015 nchi haitakuwa mikononi mwao hivo wanataka watu wa kuwapokea huko ughaibuni watakapoikimbia kwa kuogopa hasira za wananchi,endelea kusuluhisha nape na kujiandalia makazi.
 
Hawa ndio waliokuwa na mgogoro huko ughaibuni? Mbona sura zao zinaonesha niwatu wenye msongo?

hawa ndio wana ccm wenyewe wa houston waliobakia wengine wote walikuwa wanashangaa porojo za Nape . kwa ufupi mji wa houston unawakazi watanzania wasiopungua 1000 waliodhuria mkutano huo walikuwa watu 20 na wengi wao hawakuwa wanachama wa CCM. KWAHIYO MTU ANAYEKWAMBIA HOUSTON KUNA CCM ANACHEKESHA KWANI KUNA WAVIZIAJI WACHACHE WANAOTAFUTA PESA ZA RAIHISI.
 
Hakuna jipya! Upuuuzi mtupu! who is NAPE by the way?! kwangu ni upuuzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…