Rip

Du! What a sad story!! The man was close to you ..and the way he ended .. very dramatic ... Take heart Brother!!

and..

.... R I P ..ULLY...
 
Du! What a sad story!! The man was close to you ..and the way he ended .. very dramatic ... Take heart Brother!!

and..

.... R I P ..ULLY...


Man we acha tu on top of that the same same day nilipopata taarifa asubuhi naona watu wakawa wanapost kwa wall yangu Fb sasa nikawa nashangaa na usiku sijalala plus pombe nikasema ngoja niende kwao nika prove! ile naingia kwao naona wamama wana chambua mchele..JAMANIII...sitosahau ile moment..nikaanguka nimekuja kustuka naambiwa mama amegonga tegeta boda boda na hawezi hata kuongea na simu kapiga wasamaria wema..I'LL NEVER FORGET THE DAY!!! Maana nilitoka napekua toka Mbagala nawahi kumcheki mama..mawazo njiani sijui yuko katika hali gani maana hawezi hata kuongea nilijikuta nalia tu hata kutembea nashindwa!

Maisha haya jamani!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom